Somo rahisi kwa upinzani kuelekea 2020

Somo rahisi kwa upinzani kuelekea 2020

ACT-Nkasi

Member
Joined
Jul 12, 2015
Posts
80
Reaction score
42
Habarini wana jamvi
Mimi kama mwanafamilia ya mabadiliko natambua na kuheshimu sana jitihada za wazi anazozifanya rais mpya wa.awamu ya tano mh DR John Pombe Magufuli katka kufanya kile tunwchoweza kukiita kuwavusha watanzania kuelekea ktk nchi ya ahadi

Kwa namna yyte ile mafanikio ya Magufuli ktk utendaji wake yanaweza kuwa kikwazo ktk kuujenga upinzani nchini na hata kufuta kabisa ndoto ya wapinzan siku moja kuja kushika dora hii ni kwa sabab zifuatazo

1-wakati magufuli akiwa busy kucheza na akili za watanzania kwa kula sahan moja na wanahabari wapinzani wako busy kuendeleza siasa za chuki,fitna,na mamb yasiyojenga upinzan kwa ujumla na kudhihirisha kwa umma wa watz wenye uelewa wa kati kwamba vyama vya upinzan n magenge ya wahuni kweli

2-Magufuli anatambua fika ushindi ambao ccm ilipata wa 58% ulitokana na jasho jingi lililokwagika kw upande wa chama chake hivyo hatokua na mchezo kwa atayeonekana kukwamisha jitihada za kujijenga upya chama chake hivyo ulikua n wakati mwafaka kwa upinzani kujiangalia upya kuliko kuendekeza mamb yasiyo na tija ....

3-magufuli ni bingwa sana wa kucheza na akili za watu kwakua kama sehem ya utatuzi wa kero zao so wapinzan wakikaa vibaya 2020 atapita bila kupingwa



NAWASILISHA HOJA
 
Nautafakari uelewa wa watz siupatii majibu, hivi upinzani unafutika vp wakati bado dunia inazunguuka kama kawaida yake ???? basi kama kutimizwa kwa ahadi ndio kuishiwa kwa hoja basi kama Marekani,u.k, Japan na inchi zote zilizoendelea leo hii kingebaki chama kimoja tu kwa sababu wameahidi na yametekelezwa na maendeleo yanaonekana, lakini sio hivyo wao ndio kila siku wanabadilisha vyama vinavyotawala kwa sababu tayari watu wameelimika wanaafya wanamaji wana umeme wa uhakika na watu wanasafiri. Na tamaa ya mwanadamu kadiri anavyokuwa na mabadiliko ya kimaendeleo ndivyo anavyozidi kuyataka mabadiliko zaidi ya aliyonayo kwa hiyo hoja bado zitakuwepo na upinzani utazidi kuimalika kwa sababu sasa watu hawatachagua kwa sababu wamepewa kofia ila watachagua kutokana na mahitaji ya wakati huo.
 
Nautafakari uelewa wa watz siupatii majibu, hivi upinzani unafutika vp wakati bado dunia inazunguuka kama kawaida yake ???? basi kama kutimizwa kwa ahadi ndio kuishiwa kwa hoja basi kama Marekani,u.k, Japan na inchi zote zilizoendelea leo hii kingebaki chama kimoja tu kwa sababu wameahidi na yametekelezwa na maendeleo yanaonekana, lakini sio hivyo wao ndio kila siku wanabadilisha vyama vinavyotawala kwa sababu tayari watu wameelimika wanaafya wanamaji wana umeme wa uhakika na watu wanasafiri. Na tamaa ya mwanadamu kadiri anavyokuwa na mabadiliko ya kimaendeleo ndivyo anavyozidi kuyataka mabadiliko zaidi ya aliyonayo kwa hiyo hoja bado zitakuwepo na upinzani utazidi kuimalika kwa sababu sasa watu hawatachagua kwa sababu wamepewa kofia ila watachagua kutokana na mahitaji ya wakati huo.

una akili sana kaka, Great Thinkers should behave like this, hyo ACT hafikrii mbali upeo wake unaishia kwenye pua yake
 
Upinzani tupo na tutaendelea kumea kadri siku zinakwenda, dhima iliyoasisi UKAWA yani katiba ya wananchi itaendelea kuwa ajenda muhimu na mengne yatakayojitokeza kwenye utawala wa ccm, musishangilie ushindi bado mapema muno jamani, me magufuli hajabadl hata kidogo misimamo yangu
 
Habarini wana jamvi
Mimi kama mwanafamilia ya mabadiliko natambua na kuheshimu sana jitihada za wazi anazozifanya rais mpya wa.awamu ya tano mh DR John Pombe Magufuli katka kufanya kile tunwchoweza kukiita kuwavusha watanzania kuelekea ktk nchi ya ahadi

Kwa namna yyte ile mafanikio ya Magufuli ktk utendaji wake yanaweza kuwa kikwazo ktk kuujenga upinzani nchini na hata kufuta kabisa ndoto ya wapinzan siku moja kuja kushika dora hii ni kwa sabab zifuatazo

1-wakati magufuli akiwa busy kucheza na akili za watanzania kwa kula sahan moja na wanahabari wapinzani wako busy kuendeleza siasa za chuki,fitna,na mamb yasiyojenga upinzan kwa ujumla na kudhihirisha kwa umma wa watz wenye uelewa wa kati kwamba vyama vya upinzan n magenge ya wahuni kweli

2-Magufuli anatambua fika ushindi ambao ccm ilipata wa 58% ulitokana na jasho jingi lililokwagika kw upande wa chama chake hivyo hatokua na mchezo kwa atayeonekana kukwamisha jitihada za kujijenga upya chama chake hivyo ulikua n wakati mwafaka kwa upinzani kujiangalia upya kuliko kuendekeza mamb yasiyo na tija ....

3-magufuli ni bingwa sana wa kucheza na akili za watu kwakua kama sehem ya utatuzi wa kero zao so wapinzan wakikaa vibaya 2020 atapita bila kupingwa



NAWASILISHA HOJA

Nikuhakikishie bila shaka kabisa kwamba, upinzani utaendelea kustawi kwa kupanda wakati ccm inashuka ktk kila uchaguzi. Ipo sababu kubwa moja inayofanya upinzani uendelee kustawi,na ccm kushuka. Bahati nzuri ccm wenyewe hawajagundua na kwa mazingira yaliyopo,hawawezi kulijua hilo maama wanalitengeneza wao bila kujua.
 
Back
Top Bottom