Somo la ujana hasa ambao ni single

Somo la ujana hasa ambao ni single

mimikapeople

Member
Joined
Apr 28, 2015
Posts
27
Reaction score
34
Ningependa kushare nanyi hiki hasa kwa sisi ambao hatujaolewa.unapotaka kuoa au kuolewa inabidi tuwe makini sana kwenye kuchagua na tuwe tumeshaandaa mazingira ya kupokea...kuna zambi ya uzinzi ambayo mungu anachukizwa nao tuache uzinzi na pia tutubu kwa uzinzi tuliofanya na kuanza maisha mapya....apo utakuwa upo tayar kupokea mke au mume ambae mungu amekuandalia...na mume au mke toka kwa mungu kunakuwa hakuna haja ya kasema et tunasomana tabia ni mambo tu yataenda straight.. Tubadili mienendo yetu ili tuwe tayar kupokea mke au mume toka kwa mungu
 
Asante ila sijui unatumia simu kuandika yaani khaaa !!!
 
Hii ni-kama Du'a bandugu.

Anyway, Aaaaaamiiiiin.
 
hili somo wala haliko specified au ni mimi tu ndio sijaelewa
 
kumbe inawahusu ambao hamjaolewa tu!
OK mi napita tu..
 
Kwa hiyo hutashake before use......?......

hahahahaaaa..hili swali lako limenikumbusha rafiki yangu mmoja wa. a-level..dah nimepoteana nae sana,ebu nimtafute
 
Back
Top Bottom