Somo la Ufisadi larasimishwa UDSM

Omutwale

JF-Expert Member
Feb 4, 2008
1,429
1,045
Tanzania haishiwi vioja. Punde kupitia kupitia taarifa ya Habari ya Mlimani TV nimemwona Jaji Mkuu-Chande, Lau Kego Masha-IMMA Advocates na mwakilishi wa UDSM wakizindua mpango wa kuwajengea uwezo wanasheria wetu wapatao 170 katika sheria za mikataba. Lengo ni kuhakikisha eti wanasheria wetu hawaingii mkenge kwenye mikataba hasa ya kimataifa. Suala zima ni jema lakini hofu yangu ni uwezo na unadhifu wa IMMA katika masuala ya ufungaji wa Mikataba yenye tija kwa Taifa. Isijekuwa badala ya kujenga uwezo, tunaimarisha kizazi cha ufisadi kwa kutoa mbinu za ki-DEEP GREEN FINANCE
 
Masha,Chande nao hawajui,wataongozaje wengine?mpango wao wa kula hela kiaina basi
 
Busara zaidi ni kutulia mkazo somo la ethics na morality labda taifa litaepuka hili janga la unbridled ufisadi.
 
Tanzania haishiwi vioja. Punde kupitia kupitia taarifa ya Habari ya Mlimani TV nimemwona Jaji Mkuu-Chande, Lau Kego Masha-IMMA Advocates na mwakilishi wa UDSM wakizindua mpango wa kuwajengea uwezo wanasheria wetu wapatao 170 katika sheria za mikataba. Lengo ni kuhakikisha eti wanasheria wetu hawaingii mkenge kwenye mikataba hasa ya kimataifa. Suala zima ni jema lakini hofu yangu ni uwezo na unadhifu wa IMMA katika masuala ya ufungaji wa Mikataba yenye tija kwa Taifa. Isijekuwa badala ya kujenga uwezo, tunaimarisha kizazi cha ufisadi kwa kutoa mbinu za ki-DEEP GREEN FINANCE
Hao watakua wanakamchezo wanataka kukacheza!
 
Busara zaidi ni kutulia mkazo somo la ethics na morality labda taifa litaepuka hili janga la unbridled ufisadi.
Nani atafundisha hilo somo yaani tukisikia analosema, tukasoma notisi zake na tukalinganisha na maisha yake vitaenda kinyume na MAOVU?
 
Back
Top Bottom