Hapo ndipo mzizi wa fitina ulipo mkuu..tukidadavua hivi vitabu vilitoka wapi hasa...na je_hawa mitume na hasa Yesu na Mohamad ni kweli waliwahi kuishi ama ni story kama za Ng,wanamalundi na maajabu yake.....tutafikia hitimisho.
Watu wengi hasa wenzetu WANAOAMINI katika dini na MUNGU/MIUNGU huwa hawatuelewi kabisa kuhusu hili.
Nitajaribu leo kufafanua kwa kina(kadri nijuavyo mimi) kwa faida ya wengi,kuhusu,KUAPATA KITU PASIPO KITU.(sina uhakika kama ni tafsiri sahihi). Karibuni....
Katika nyanja ya Evolution,ina maanisha ni jinsi gani unaweza kupata Immense complexity and diversity and beuty and elegance of life,na zaidi ya hapo,inaonesha ni jinsi gani unaweza kupata Powerful Illusion of design ambayo uhai unaonesha,ambayo ninaweza sema sio kutoka katika HAKUNA(nothing),(not quiet from nothing)ila kutoka katika Extreme Simplicity.
Evolution does not even attempt to explain origin of everything, so true, though its a lie by itself, you are right on what it attempts to do. To explain how simple life "evolved" into complex life forms. The problem is life is complex by itself so there is no such a thing as simple life. Experiments have failed to produce single life, because life is complex. The word is oxymoron!
Kabla ya Darwin kufanya utafiti uliopelekea kila kitu kuwa wazi,ilikuwa ni vigumu sana kuamini/kueleza jinsi gani unapata/kuna Vitu kama Ubongo,macho,miguu,mabawa ya ndege,n.k.Ilikuwa n ngumu sana kujua vipi unaweza kupata vitu vilivyo vizur machoni na vyenye mpangilio maalumu vinavoonekana kama vimepangwa(designed).
Darwin alitoa confidence na kuonesha kuwa kinachoonekana ni ugumu wa ufahamu wa kupata kitu pasipo kitu,alisove na waliofuata pia walikuw wakiendeleza kazi yake tangu kipindi kile.
we hata hujui unchoandika! Darwin kwenda kutembelea Galapagos na kukusanya ndege na ku project imaginations zake ndio utafiti? Nadhani labda maana ya neno utafiti imebadilika jana!
Nothing i not substance, its absence of everything. So if you have a single thing, then its not nothing. And so you can never have anything out of absence of everything....impossible. something have to be there for you to have something. Ex Nihilo nihil! I see you jumping into world of philosophy. I assure you, soon you will contradict yourself!
See, I said it. How do you get everything out of absence of everything? Is this magic or what? Out of nothing comes nothing, period!
And what is that which you know about the universe's origin? I mean no speculation but you know? I submit to you, you know nothing at all. Only God was there and He know what happened. No one else including you was there, so trying to say you know anything is being dishonesty!
Hey, stop it! Nothing by definition is absence of all things. How can that be unstable? You are assuming that nothing is something which can be unstable. And since nothing is not something and you are assuming nothing is something... what are you saying? I warned you before!
This is voodoo not science. Where did you get this from? By the way empty space is NOT nothing. So even if I grant your voodoo here, its not creating from nothing. Space is something by definition and not absence of all things!
Another voodoo here. If you take a frog, and wait long enough it will turn into nice sweet princess. Mama Deborah Mwenda called them tales. So here you are telling a tale for grownups!
This is not science. Don't call it science!
So you are saying empty space is nothing? Are you dumb in any other area, sir/madam? Space is not nothing, its something. You life in time-space-matter universe and you do not call time nothing, nor do you call matter nothing. So why space? Space is not nothing and space did not create anything. Are you attributing Creation of the universe to space?
Am sorry sir, that is completely senseless, unscientific and dumb. Space is created and not the Creator. From nothing, only nothing comes!
But ist the empty space nnothing(wengi mtasema no ),Lakini ngoja nikuoneshe pia kwamba EMPTY SPACE nayo inaweza ikawa product ya nothing,na hapo nadhan hakuta kuwa na swali tena.
First you say empty space is nothing itself, few inches later it becomes product of nothing (there by implying it is not the nothing itself). Why should we take anything you say seriously if you contradict yourself in virtually all you try to explain here?
The fact is clear that you do not have a first clue about science, let alone logic and philosophy you try to delve in. Second, not one person is able to explain anything, I mean anything, without pre-suposing God!
Am afraid you are too naive to deal with these subject. You are supposed to be listening not talking!
Hapa nakuja katika laws za kifizikia,ama NATURAL FUNDAMENTAL LAWZ,
Ambzo zinaelezea kiundani jinsi ambavo kanuni na misingi ya kuwepo hewa tupu,space na mazingira ya utokeaji wa kila kitu kinachohitajika kufanyika kwa kitu husika(sina haja ya kuchima sna ntapoteza maana ya uzi,waweza uliza katika mjadala na nitajibu.),@@@@
Nothing niimanishayo katika upande wa Evolution sio,Completely nothing,lakini ni kutoka katika resonable complicated beginning ambayo ilikuwa ni first self replication molecule(maana completely nothing imesha tengenza UNIVERSAL na sasa ni evolution .).
Lakini tukumbuke kwamba Natural selection haiwezi kwenda kama hakuna genetics.,na hilo ndo tatizo ambalo halijasoviwa.Namaanisha hadi sasa hakuna anayejua Genetics zilivoanza.Lakini tunajua kwamba Kanuni za chemistry lazima zianzishe self replicating molecules,Kisha EVOLUTION inatake place.
Na kuanzia hapo sasa,aina zote za diversity na viumbe kama mimi na wewe ndo tukawa into existence,lakini haya yote lazima yaanze na GENETICS,hapo mapungufu ya chemistry yanaonekana,lakini kabla hatujailaumu chemistry kwa kukosa ufumbuzi wa genetics inabidi tuanze na physics !
Uhai katika dunia ulianza miaka 3.5bilion ilopita,katika kipindi cha Cambrian explosion.
Katika mika 4.5bilioni ilopita, ambayo ni kadirio la umri wa dunia, hakukua na bacteria.So katika miaka 3.5bilion ilopita uhai ukaanza taratibu katika dunia kutokana na Nitrogen ,Helium Hydrogen pamoja na hewa nyingine ndogo ambazo zilitokea katika spaces/sky baada ya Explosion.
1. What exploded?
2. Where did energy to explode come from?
3. Who initiated explosion
4. How did eplosion create order? I was watching IDF exploding Rocket launching stations in Gaza and all was chaos not order. can you explain voodoo behind this explosion?
5. How did Hydrogen (that is, the gas produced by explosion) turn into all elements of Periodic table?
6. How do you get life from non-life?
I guarantee you, not one of the six question, none, is going to get a reasonable response than voodoo that time did it!
Baadhi ya watu husema,We don't understand the origin of life on Earth ,so GO,D must done it!(kamba hatuelewi mwanzo wa uhai katika Dunia,kwa hiyo lazima mungu ndo alihusika).SI KWEL,.....
No no no! what we say is, God did it and you who do not want that truth try to make a voodoo explanation of how things came. I mean compare what you believe and what I believe and see who is dumb here
1. You believe there was not a single thing - I believe God was there in timelessness, eternity
2. You believe nothing exploded and we have beautiful galaxy - I believe intelligent God crafted the universe, with magnificient design
3. You believe all life came from a rock+rain which somehow made complex chemicals that magically did it - I believe God created variety of life
4. You believe that though it does not happen today, somehow, magically in remote past animals evolved from other animals, that you came from Bacteria - I believe God made kinds and each producing after its own kind, just all the time
5. You believe that you are better animal (though you don't live like one) - I believe that humans are God's special creation with moral obligations (thats why we cry for justice, equality et al)
You are right. God is unaffected with whatever happens to science. God created Laws that govern science. We have uniformity (cornerstone of science) because God upholds the universe. How do you get science in random chance universe that you believe in? I mean how sure are you that same test tube is not going to randomly increase its temperature or that tomorrow 100 centigrade will somehow randomly become as cold as -1?
So true, God exists outside and independent of science. But no science can exist in randomness nor in lawlessness. You need uniformity, Laws and logic and all those cannot happen outside God. So Science cannot exist without God. The notion of science assumes God in first place!
Also remember Bigbang, evolution and all the co are not science. They are religions that men call science.
You cannot test them, nor observe them. You just believe them. That is not science!
Sayansi inakuwa kila kukicha.Kama ni hivo basi atakuwa ni MUNGU wa mapungufu,(GOD OF GAPS),ambaye anaonekana tu katika few remaining Gaps in our understandings.
All athesists are just like you. They love to make strawman's argument. Your god i not omniscient so need to learn thru tria and error. Such is not the God I worship, creator of heaven and earth. Jehovah knows ALL things, and so does not need any improvement. He does what He pleases so does not need counsel. He is so powerful, Almighty that test tubes and human mind cannot contain Him. Your god is man made and does not exist.
You atheists love to commit sin of Idolatry, making gods to suit yourselves. Actually one of them is space (you created it above)
Nikukumbushe pia kabla ya Darwin na wengine,uhai na uwepo wetu,Miili na jinsi ifanyavyo kaz ,ilikuwa inaonekana kama miracles.Hakuna aliyeweza kusema nini ni nn na kila kitu ilikuw akaz ya mungu.
Lakini leo vinaelezeka na kutabiriwa na mamlaka za hali ya Hewa na onyo linatolewa . Nachotaka kusema hapa ni kamba sayansi ,,inakuwa,, na itafumbua kila kitu.
Uh! You seem to be ignorant person that s a way too pride to accept facts.
Weather forecast eplains why tornadoes, eruptions et al occurs? Where do you get it?
First all they do is watching some signs and sound the trumpet. That can be done because God have put uniformity on universe. Thats why the signs before eruption that year will prompt them for this year.
Assume for a moment a universe of randomness that you believe, with chances. If x sign caused volcanic eruption today, why should we believe that same sign should warn us tomorrow? So you need God to make things uniform to even make sense of forecasts. So God cannot be avoided whenever you mention science!
Kwangu mimi huwa naona kama n dalili za udhaifu ninaposikia kauli mfano,,""I DONT UNDERSTAND IT,THEREFORE GOD DID IT"" this is the kind of lazy argument.It doesn't help anything,but it leaves opens, since it doesn't explain even where God came from.
I don't buy to that argument too. Its stupid argument to make.
I believe God made it because He made it. I reject you big bang, evolution and whatever else on the same ground they are unscientific and anti science and anti-reason.
Kitu kikubwa alichofanya Darwin ni kuonesha ama kujuza ni jinsi gani unaweza kupata God like things/complex things (like humani Brain) kutoka katika omni nothing.
Big fat lie, Darwin did not do that. Prove me wrong with data. Actually Darwin said the opposite
To suppose that the eye with all its inimitable contrivances for adjusting the focus to different distances, for admitting different amounts of light, and for the correction of spherical and chromatic aberration, could have been formed by natural selection, seems, I freely confess, absurd in the highest degree.
Ngoja niongelee kidogo CONCEPT YA EVOLUTION,maana najua ntaulizwa mbona manyani hayabadiliki siku hiz..
Watu wengi wanadhani kwamba EVOLUTION,inaonglea/inahusu manyani/masokwe kumzaa ama kugeuka binadam,!,ni hiv,Miaka kama milioni 25,ilopita Human being(watu) walikuwa""Common Ancestor "",NA MONKEYS ,CHIMPANZEE ,GORILLAZ n.k.!
Ngoja nikusaidie. Common ancestor maana yake wote tulikuwa na mzazi mmoja. Yaani mzazi wako wa kwanza alikuwa bakteria. Kwa hiyo wewe na sokwe mnachangia wazazi wa mwanzo.
Huu ni upumbavu kwa sababu ili kumgeuza bakteria awe hata samaki tu unahitaji kuongeza taarifa za DNA za kumwezesha kuwa samaki. Sasa bahati mbaya nadharia yenu ya mageuko inategemea natural selection na gene mutation. Haya yote yanapunguza taarifa na si kuongeza. Kwa hiyo aliyeongeza taarifa ni nani?
Moja ya manabii wa dini yako aliamua kujitosa kutatua tatizo hili kwa kusema aliens walileta hiyo extra DNA... So stupid for a science professor. But Bible says it in Romans 1 "professing to be wise, they became fools". Sasa wewe sijui unasemaje?
Hili ndo jambo gumu watu kuelewa,Kwa kiswahili ni kwamba ,HATUKUWA MANYANI WALA MASOKWE BALI TULISHARE BAADHI YA TABIA ,VITU,UMBO,MWONEKANO n.k.,huwa napata shida sana kuelezea jambo hili.So 25,yearz ago our ancestors might have look like monkey,gorillaz,or chimpanzees.Narudia,tena neno MIGHT HAVE LOOK LIKE,NOT THEY WERE MONKEYS !
Mnachonishangaza ni kuwa:
1. Hamsemi miaka millioni 25 mmeipata kwa rekoki gani? Maana hakuna historia ya kubabia babia
2. Nani alikuwepo akaandika hiyo historia? Maana hiyo siyo observational science, ni history!
So its all sheer speculations that people choose to believe!
Inaendelea lakini its too slow for us to see,kumbuka tunaishi kwa miongo michache na pia evolution its too slow to be noted easy .
If it was not observed in past because it was too slow to be observed and now cannot since its too slow... how comes you call it science? You cannot observe it anywhere and anytime, why don't you call it religion?
Yes its something you guys believe by blind faith, a religion!
We can see it in Bacteria only too visibly ,because thats y,ant-biological resistance is such a big problem and more immensely important medical problem.Take this ,if the doctors at the time of invention of penicillin which Darwin wishes about them,they would been able to predict that resistance to ant-biotic.refers the book known as,, THE SCIENCE OF DARWINIAN,, MEDICINE .another vivid example of the continuation of Evolution is just look ok history,try to observe the physical appearance of the people live in 14c,15c or even 7century,you may not a lot of differences comparing to us.
That is called adaptation, and is not evolution. That does not prove that men evolved from apes nor that we had common ancestor. Its just a display of self defense intelliegence. Go and ask people who have brains and will tell you intelligence must come from intelligent agent not blind random chance!
Well if explain intelligence by intelligent designer, God, is low and poor logic what about explosion making order?
To me when Jumbo Jet explodes we don't get little jets but disaster. Yours is poor, low, insane and dangerous way of reasoning. You can't be serious that a simple car can arise itself but complex human DNA arose by chance.
what proves that there is no intelligent designer?
1. DNA have coded language - We know language requires intelligence
2. Logic (which you refer) requires universal reference system which is beyond humans (for humans to be under it) so it demands Transcendental Logical Being, that is God
3. You can reason intelligently, do you? How can chemicals randomly acting on each other produces such person as you?
The only way to "prove" absence of Biblical God is suppressing the truth in unrighteousness. Is turning blind eye at what God have put as evidence and embrace stupid and dangerous religions such as evolution! No other way is available!
This person God of tje JUDAISM ,CHRISTIANS,ISLAMS has nothing to do with the God who cares about us.
Uninformed guy like you is likely to get confused.
Allah is not same as Jehovah, Creator God. All evidence of Creation point to right Creator and Owner of the Universe, Jehovah. He and He alone is God and He is not Allah!
And you say He does not care about us? You are such ungrateful person. Though you deny Him right here, He have given you His oxygen and even hands to write your foolish arguments. But that is not all. You have broken His laws, lying, stealing, lusting et al, and piles yourself His wrath. Instead of just punishing them (since you have no way to escape it) He came in the Person of Jesus, lived perfect life and dies a shameful death at the Cross, at the hand of those whom He created. Why Becaue He cared and loved som much that He agreed to pay price of all who will agree and forsake their sins and follow Him. He rose again and is preparing a place for those who will accept his offer of salvation.
Though He gives ou life, you deny Him. Though He paid the fine, you reject His gift and you try to make Him look like a careless monster. Though He makes heaven for all who accepts the gift of Salvation, you reject Him and hate Him.
Na katika uwanja wa Sayansi ,tukisema kama mapungufu yaliyopo yahusiane na mungu,hatuta muhusisha mungu nafsi!,,The same God created lawz of physics ?. Na kama katika Sayansi kukihitajika kuwa na Mungu,basi atakuwa DIASTIC GOD,And he is very very different from the Gods of religion ,na huyu ndiye aina ya kitu tunatumia muda kumuelezea.
This universe is not the same perfect universe that God made. Adam sinned, putting whole world under the Curse of God. We have even advanced in sin in our generations, destroying the creation of God day after day. So Its all our faults and have nothing to do with God, the faultless perfect God!
You seem to lack basics in major areas you try to argue:
1. Life comes only from life (Basic Biology Law)
2. Intelligence comes from Intelligence (Basic Law in Intelligence)
3. Information comes only fom Intelligence (Basic law in Information)
Kwa hiyo katika dunia kunaweza kuwa na Gods like humani being.Nakubali kwamba kunaweza kuwa na life forms than us,ambao tukikutana tutabidi tuwapigie magoti LAKINI WATABAKI KUWA ZAO LA MUENDELEZO(the product of the process ),of evolution devlpmt.they will not be GOD,S In the sense that having created the laws of physics,or tje universal or life!.
Let me end up here,karibun...
I will say thank you for proving Romans 1 right. Here I quote for those who does not know it!
[SUP]8 [/SUP]For the wrath of God is revealed from heaven against all ungodliness and unrighteousness of men,who hold the truth in unrighteousness; [SUP]19 [/SUP]because that which may be known of God is manifest in them; for God hath shewed it unto them. [SUP]20[/SUP]For the invisible things of him from the creation of the world are clearly seen, being understood by the things that are made, even his eternal power and Godhead; so that they are without excuse: [SUP]21 [/SUP]because that, when they knew God, they glorified him not as God, neither were thankful; but became vain in their imaginations, and their foolish heart was darkened. [SUP]22 [/SUP]Professing themselves to be wise, they became fools, [SUP]23 [/SUP]and changed the glory of the uncorruptible God into an image made like to corruptible man, and to birds, and fourfooted beasts, and creeping things. [SUP]24 [/SUP]Wherefore God also gave them up to uncleanness through the lusts of their own hearts, to dishonour their own bodies between themselves: [SUP]25 [/SUP]who changed the truth of God into a lie, and worshipped and served the creature more than the Creator, who is blessed for ever. Amen.
What I can advise you what I always advise atheist and other non-christians, and by this I do not mean profesing Christian but true ones.
Soon or later you will have to pass thru door of death and meet righetous Judge of the Universe: The God you vehemently deny He exists. The beuty side of it is you don't have to believe for Him to exist so you will meet Him anyway. And He will judge you according to the ins of your heart as well as you deeds. You will be sentenced to Hell...all without believing in it. You will believe it when you are in there, for there are no atheists in Hell!
The only wise thing you could do now is stop being proud of sins, they are taking you to dangerous end. Repent and by this I mean change your mind about sin and cry out to God for mercies and forgiveness of your sins. He will forgive you and give you eternal life. He will change your heart and desies and then you will know for sure He exists.
I have taken all of my precious time to answer you for one reason, I love you. I do not want you go to hell, its terribe place. So I want you to know that the arguments you cling to are not only stupid but also very dangerous. Your eternity welfare is at stake and am obligated by that love of God to tell you the truth.
Do not be deceived, Jesus is the only way truth and life. The cloak of atheism will take you to hell and I care enough to warn you.
Stefano Mtangoo umejitahidi kujibu asante.Lakini kama ilivo kwa wengi wenu mnatumia Imani kujibu maswali yasiyohusu imani huku mkiuliza maswali pale tu mnapoona Sayansi haijagusa.Lakini pale mwanadam alipoweza hamgusi.Ndo mana kuna siku nilisema hapa kwamba kama mungu wenu yupo basi atakuwa God of Gaps.Maana anaonekana pale tu mnapodhani binadam anashindwa kutatua.
Kiufupi ni kwamba,Dini haijawahi kutatua tatizo lolote katika dunia hii,zaidi ya kuleta matatizo zaidi.
...,,kijana kubali kwamba ...You need Science to understand how the World real works.Your Religion does not answer any of the difficult challenges of life,what it does is only giving hope,.Which is in real sense hopeless because there no proof of it.
God is a complicated entity which requires a much more certificated explanation than a Universal which is according to modern Physics a simple entity,it has a very simple beginning,it is not a negligible beginning which is very easy to explain than something complicated as God.
Stefano Mtangoo umejitahidi kujibu asante.Lakini kama ilivo kwa wengi wenu mnatumia Imani kujibu maswali yasiyohusu imani huku mkiuliza maswali pale tu mnapoona Sayansi haijagusa.Lakini pale mwanadam alipoweza hamgusi.Ndo mana kuna siku nilisema hapa kwamba kama mungu wenu yupo basi atakuwa God of Gaps.Maana anaonekana pale tu mnapodhani binadam anashindwa kutatua.
Kiufupi ni kwamba,Dini haijawahi kutatua tatizo lolote katika dunia hii,zaidi ya kuleta matatizo zaidi.
...,,kijana kubali kwamba ...You need Science to understand how the World real works.Your Religion does not answer any of the difficult challenges of life,what it does is only giving hope,.Which is in real sense hopeless because there no proof of it.
God is a complicated entity which requires a much more certificated explanation than a Universal which is according to modern Physics a simple entity,it has a very simple beginning,it is not a negligible beginning which is very easy to explain than something complicated as God.
God has NO beginning ,that is the beginning ''NO BEGINNING'' you will never know GOD until you beleive and accept the holy words we are not humans we are spirits look ''Mwili wa marehemu'' now where is marehemu??advancement in science is not solution any more it is loss of humanity and destruction and raising a fiction and virtual world which isnt reality,out of nature out of who we are,think and be wise take time to define yourself the world,the choice is yours hell or heaven
Stefano Mtangoo i understand the semantic very much tatizo watu wanataka proof ndani ya imani afu hawataki imani itumike bila kutambua kila mtu ana imani ila zinatofautiana ,wanashindwa ona picha mkuu ingia
Stefano Mtangoo umejitahidi kujibu asante.Lakini kama ilivo kwa wengi wenu mnatumia Imani kujibu maswali yasiyohusu imani huku mkiuliza maswali pale tu mnapoona Sayansi haijagusa.Lakini pale mwanadam alipoweza hamgusi.Ndo mana kuna siku nilisema hapa kwamba kama mungu wenu yupo basi atakuwa God of Gaps.Maana anaonekana pale tu mnapodhani binadam anashindwa kutatua.
Kiufupi ni kwamba,Dini haijawahi kutatua tatizo lolote katika dunia hii,zaidi ya kuleta matatizo zaidi.
...,,kijana kubali kwamba ...You need Science to understand how the World real works.Your Religion does not answer any of the difficult challenges of life,what it does is only giving hope,.Which is in real sense hopeless because there no proof of it.
Sayansi hi hii iliyo shindwa kutuonyesha wapi ilipo Malaysian Airline Flight 370?
I see, kama Sayansi imeshindwa kutuoneysha kitu ambacho ilitengeza, kivipi ufikirie Sayansi itaweza kueleza na kumwelewa Mungu?
You don't know Sayansi Free Idea.
Kwako wewe Newton alipo sema gravitation ipo, basi ukasema Sayansi hiyoo imegundua!!!, kumbe Newton just came to understand the existence of it. Newton hakugundua chochete hapo. The force was always there. I mean hata DNA ilikuwepo siku zote na sio kuwa sayansi iligundua DNA. Jifunze kufikiria kijana. SASA unataka nikuonyeshe DNA kwenye BIBLIA? Maana wakati ule tulikuwa tuwafundisheni nyie kuwa the fundamental and distinctive characteristics au qualities za mtu na au Binadamu when regarded as unchanged mlifikiri tunasema IMANI.
Sayansi hi hii iliyo shindwa kutuonyesha wapi ilipo Malaysian Airline Flight 370?
I see, kama Sayansi imeshindwa kutuoneysha kitu ambacho ilitengeza, kivipi ufikirie Sayansi itaweza kueleza na kumwelewa Mungu?
You don't know Sayansi Free Idea.
Kwako wewe Newton alipo sema gravitation ipo, basi ukasema Sayansi hiyoo imegundua!!!, kumbe Newton just came to understand the existence of it. Newton hakugundua chochete hapo. The force was always there. I mean hata DNA ilikuwepo siku zote na sio kuwa sayansi iligundua DNA. Jifunze kufikiria kijana. SASA unataka nikuonyeshe DNA kwenye BIBLIA? Maana wakati ule tulikuwa tuwafundisheni nyie kuwa the fundamental and distinctive characteristics au qualities za mtu na au Binadamu when regarded as unchanged mlifikiri tunasema IMANI.
Poor thinking capacity !, Sasa nani wa kulaumiwa kati ya Sayansi na mungu wako?.Nilishakwambia kitambo kwamba Sayansi haijibu maswali yote!,Na pale panapoonekana kutokuwepo na majibu katika sayansi ndo Mnam-fix mungu wenu.mfano ni kauli yako ya sasa kwamba sayansi imeshindwa kuipata Malaysia plane.,Kwa akili zako ndogo umeona hapo jibu la kuwepo mungu ndo linakuja,poor you!.
Sio mungu huyuhuyu eti alimwotesha TB joshua kwamba ndege imezama bahari ya Hind ?.na kwamba mabaki yataonekana soon?,.na mpaka leo hakuna kitu?.Mungu wenu n mwongo?.Au hata yeye hajui?.
Mungu gani anayetatua tatizo likishatokea na sio kabla?.Watu wale walikosa nn mpaka wafe wote?.Alikuwa wapi kutoa utabir kabla ya ajali.
Nilikwambia kwamba sayansi imetoa msaa mkubwa sana katika uhai na maisha ya binadam mpaka sasa.Dini haina MASHIKO TENA NA IMEPITWA NA WAKATI!.Siku zaja ambapo utakubaliana na mimi.
Huwez sema dunia ina kitu/power,Halafu mambo yaende hovyo namna hii,msaa wake uko wapi?.Mungu wa kufikirika ?.The God of Gaps!.Pale sayansi ilipotusua hamsemi kwamba hakika sayansi inaweza,ila pale inapoonekana kukwama sababu ya technologia haijapatikana mnamweka mungu hahahahhahah.
Ishmael wew ndo mfuata mkumbo namba moja maana hata mungu unaemfuata humjui na huna uhakika kama yupo.Kiufupi ni kama umefungwa kitaamba machoni kisha unaambiwa tembea mbele.,Huku unapapasa papasa.
Nilikwambia unambie japo matatizo matatu ambayo Dini imeyatatua hadi sasa hapa duniani!.Ukashindwa!,Basi nambie mawili tu,ok basi hata moja!,.Hakuna faidi yoyote iletwayo na dini zaidi ya Vurugu na umasikini.
Stefano Mtangoo umejitahidi kujibu asante.Lakini kama ilivo kwa wengi wenu mnatumia Imani kujibu maswali yasiyohusu imani huku mkiuliza maswali pale tu mnapoona Sayansi haijagusa.Lakini pale mwanadam alipoweza hamgusi.Ndo mana kuna siku nilisema hapa kwamba kama mungu wenu yupo basi atakuwa God of Gaps.Maana anaonekana pale tu mnapodhani binadam anashindwa kutatua.
Kiufupi ni kwamba,Dini haijawahi kutatua tatizo lolote katika dunia hii,zaidi ya kuleta matatizo zaidi.
...,,kijana kubali kwamba ...You need Science to understand how the World real works.Your Religion does not answer any of the difficult challenges of life,what it does is only giving hope,.Which is in real sense hopeless because there no proof of it.
1. What exploded?
2. Where did energy to explode come from?
3. Who initiated explosion
4. How did eplosion create order? I was watching IDF exploding Rocket launching stations in Gaza and all was chaos not order. can you explain voodoo behind this explosion?
5. How did Hydrogen (that is, the gas produced by explosion) turn into all elements of Periodic table?
6. How do you get life from non-life?
I guarantee you, not one of the six question, none, is going to get a reasonable response than voodoo that time did it!
Stefano
Ishmael wew ndo mfuata mkumbo namba moja maana hata mungu unaemfuata humjui na huna uhakika kama yupo.Kiufupi ni kama umefungwa kitaamba machoni kisha unaambiwa tembea mbele.,Huku unapapasa papasa.
Nilikwambia unambie japo matatizo matatu ambayo Dini imeyatatua hadi sasa hapa duniani!.Ukashindwa!,Basi nambie mawili tu,ok basi hata moja!,.Hakuna faidi yoyote iletwayo na dini zaidi ya Vurugu na umasikini.
Hivi wewe unaye pindisha thread yako na mimi ninaye kupa vipigo na unashindwa kujibu, ni nani mfuata mkumbo?
By Free ideas God is a complicated entitywhich requires a much more certificated explanation than a Universal which is according to modern Physics a simple entity,it has a very simple beginning,it is not a negligible beginning which is very easy to explain than something complicated as God.
ATHEIST CONFESSION 1. God is a complicated entity !!!!! 2. God requires a much more certificated explanation. !!!!!!!!!!!!! 3. Modern Physics can not explain God. !!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Sasa imebakia kukutafutia Kanisa tu. Maana sasa unaanza taratiiib kuelewa kuwa Mungu hatafutwi kwenye test tubes.
Poor thinking capacity !, Sasa nani wa kulaumiwa kati ya Sayansi na mungu wako?.Nilishakwambia kitambo kwamba Sayansi haijibu maswali yote!,Na pale panapoonekana kutokuwepo na majibu katika sayansi ndo Mnam-fix mungu wenu.mfano ni kauli yako ya sasa kwamba sayansi imeshindwa kuipata Malaysia plane.,Kwa akili zako ndogo umeona hapo jibu la kuwepo mungu ndo linakuja,poor you!.
Unaona jinsi unavyo endelea kujiweka kwenye hali mbaya!!!! HUU HAPA CHINI NI MSIBA KWAKO
By Ishmael Sayansi hi hii iliyo shindwa kutuonyesha wapi ilipo Malaysian Airline Flight 370?
I see, kama Sayansi imeshindwa kutuoneysha kitu ambacho ilitengeza, kivipi ufikirie Sayansi itaweza kueleza na kumwelewa Mungu?
You don't know Sayansi Free Idea.
Kwako wewe Newton alipo sema gravitation ipo, basi ukasema Sayansi hiyoo imegundua!!!, kumbe Newton just came to understand the existence of it. Newton hakugundua chochete hapo. The force was always there. I mean hata DNA ilikuwepo siku zote na sio kuwa sayansi iligundua DNA. Jifunze kufikiria kijana. SASA unataka nikuonyeshe DNA kwenye BIBLIA? Maana wakati ule tulikuwa tuwafundisheni nyie kuwa the fundamental and distinctive characteristics au qualities za mtu na au Binadamu when regarded as unchanged mlifikiri tunasema IMANI.
Ishmael wew ndo mfuata mkumbo namba moja maana hata mungu unaemfuata humjui na huna uhakika kama yupo.Kiufupi ni kama umefungwa kitaamba machoni kisha unaambiwa tembea mbele.,Huku unapapasa papasa.
Nilikwambia unambie japo matatizo matatu ambayo Dini imeyatatua hadi sasa hapa duniani!.Ukashindwa!,Basi nambie mawili tu,ok basi hata moja!,.Hakuna faidi yoyote iletwayo na dini zaidi ya Vurugu na umasikini.
Ushahidi wa Sisi kumuumba mungu upo wazi.Kamata hapa chini.....
Binadam anapofikia mwisho wake wa kufikiri ama kutatua tazizo,hapo ndipo neno mungu huibuka.mara ngapi tunasikia kauli kama,ehhh mungu ndo anajua bana!,ohh mungu kapanga!,au pale tunapopata majanga ambayo labda hayakutarajiwa ama vyovyote kauli za kumuumba mungu huwa zinajitokeza.Mfano katika ajali waliopona husema mungu hakupanga lakini walikufa hakuna asemaye mungu kawaua.
Lakini je ni nani anaweza kuthibitisha kwamba kuna mungu?,ama kwamba kuna nguvu flani inayohusika na kila kitu hapa duniani ama ulimwenguni?..Ni nani nalini mungu kaonekana ?.Nn hasa kinafanya watu wahisi ama wamtaje mungu huku wakiwa hawana uhakika na wakismacho?.
Jibu ni rahisi sana,kwamba ni UOGA,kutokana na uoga wetu basi cc ndo tunamumba mungu na kuamini kwamba lazima tu kutakuwa na nguvu flani.
Kuna siku humu niliwauliza kama mnajua kwa nn anaitwa MUNGU ASIYEONEKANA,na kwa nn aitwe hivyo ama kama mnaufaham kwamba lini neno hili(ASIYEONEKANA)lilianza kutumika .Kwa bahati mbaya sana hakuna aliyeweza kujibu na wote mlikwepa swali hilo na badala yake mnaanzisha maswali nyemelezi na kukwepa swali la msingi.Baadae mnaanza kisema hamjibiwi.
Nikawauliza pia iweje mungu(kama yupo) atuumbe halafu tusimjue?.Kwa nn tumtafute ama tumsome?.Nikawauliza pia kama mungu yupo ilikuwaje ustaarabu wa kwanza ulianza huku watu wakiabudu miungu ya kuchonga ama jua,mwezi na nyota?.Huyu mungu alikuwa wapi? Hakuna aliyejibu.Nikawaomba mnithibitishie uwepo wa mungu Out of Faith (swali rahisi kabisa lenye majibu mawili)mkashindwa.
Cha kushangaza ni kwamba dini zenu zinamuelezea mungu pale tu sayansi inapoonekana kushindwa kutatua jambo basi utasikia,, ni mungu pekee ndo anaejua".
Ninachoweza kuwaambia ni kwamba ,we have killed your Gods,(god of the sun,the moon,god of stars etc).We are on our way to kill your unseen god.And for sure we gonna kill him/it and succeed to make the Universal a free place to live without fears of nonsense as God .
Nikawaambia niambie japo matatizo mawili ambayo Religion imesove hapa duniani mpaka sasa,hakuna aliyejibu.
Nikawauliza kama mungu ni mwema iweje wazaliwe watoto vilema,walemavu?,wakiwa na sikoseli,au mnambie basi ilikuwaje mungu hakujua tatizo dogo kama Appendix linaweza kumuua mtu kwa nn hakulizuia wakati wa uumbaji?.Je bila operations kuondoa kifuko kile (sayansi) ingekuwaje?,je vitabu vya dini vimesemaje hapo?.Hakika havikusema chochote.
Nikawauliza lini mungu aliacha kuongea nawanadam live na kwa sababu gani hamkusema!,,Na nilitaka kujua pia kwa nn siku hizi manabii na mitume hakuna mkakaa kimya.Zamani za ujinga zimepita,ambapo mtu alikuwa anaweza kusema kirahisi kwamba katokewa na malaika pangoni ama popote kisha watu wakakubali.kwa sasa mtu akisema hivyo tunampima akili!,.ama tunampeleka wodi ya vichaa(mnajua kwa nn).
Nikawauliz aje ni watu wangapi mpaka ssa miaka hii wamesema wametokewa na malaika ama sijui yesu wakapuuzwa mkakosa jibu na kwanii walipuuzwa mkakosa cha kusema,narudia enzi za ujinga zimekwisha!.
Je ni nani mwenye uhakika kwamba mungu yupo??.ni nani kati yenu anaweza kusimama na kuthibitisha humu Jf kwamba mungu yupo?.Ukinambia nithibitishe kutokuwepo kwake ni simpo sabau hakuna ushahidi wa uwepo wake .Kitu kisichopo hakihitaji kuthibitisha kutokuwepo maana kingekuwepo hata hilo swali la kuthibitisha kutokuwepo kwake lisingekuwepo.
Kwa hiyo maelezo hayo juu yanatosha kueleza jinsi cc tunavomuumba mungu kimawazo,kimtazamo,kifikra,na uoga pia.
Kimsingi kuna maswali ambayo mwanadam akijiuliza haraka haraka na kukosa majibu yakinifu basi humalizia kwa kusema hakika kuna mungu.mfano
1.Kwa nn nipo/tupo na tulitoka wapi.
2.Kwa nn jua linatoka mashariki kwenda magaharibi kila siku
3.Kwa nn kuna kifo.
4.Kwa nn lazima tuzeeka
5.Uhai n nn?.(falsafa ya uhai.)
6.Kwa nn mimi /cc ni tofauti na wanyama.
7.Dunia ilitoka wapi?
Hayo ni baadhi ya maswali ambayo ni magumu kama mtu atajiuliza haraka haraka.basi mtu hujikuta anamuumba mungu akilini na hapo ndipo dini na imani zinapoanzia.
Lakini je ni kweli maswali hayo yanakosa majibu??.Hapana maswali hayo yote yanajibika katika sayansi na field zingine.
Katika uzi wangu fulani nilieleza maana ya dini kama vile niijuavyo mm lakini hapa ntaeleza piakw a faida ya wengi.
Dini ni utamaduni wakuabudu wa jamii flani.Dini sio lazima imtaje mungu(asiyeonekana),dini inahusu utamaduni na maisha ya jamii husika na mahala husika.Dini ,inabadilika na kukua kulingana na muda na mazingira,Dini inakuja kuhusisha IMANI katika Stage mojawapo ya ukuwaji wake. Dini haikuanza kwa kumtaja mungu kwamba ndiye muumbaji wa kila kitu.Dini ilianza kwa kuwatambiakia wazee na mambabu kimila.Na hii ilikiwa ni sehemu zote duniani.Ndo mana hata biblia inasema mababu akina Abraham ,yakobo ,isaka n.k.
Katika stage Flani dini zinakuja kuhusisha imani ambapo sasa dini zinawapa heshima wazee wa zamani huku zikikumbuka miungu waliyoiabudu hao wazee!..Taraatibu dini zinaanza kuchukua sura mpya na kuanza kumtaja mungu(lakini ni baadhi tu zinamtaja mungu asiyeonekana).Maana kuna dini zingine mpaka leo hazikuifuata Idea ya mungu ASIYEONEKANA
iliyopandikizwa baada ya jamii kuwa na miungu mipya karibu kila msimu.Naomba niishie hapo kwa sasa kuhusu dini.
Pia mlishindwa kunambia ilikuwaje mungu akasitisha muamrisha taifa fulani liue taifa fulani bila hatia.Je hamkubali kwamba dini zimereplasiwa na Seriali?.Kuna amri gani za kidini ambazo serikali haikatazi.
Why do you hate science ?.You claim to know God right ?.Ok tell me where did God came from?.Or simply who created him/it?.
You dont even think of how many evils done by the so called religion in this world !.Religion creates problems rather than solving them!.
Then tell me y do the bible allows slavery and encouraged it.And then we THE PEOPLE, as developed we stopped(abolished ) it.Tell me if we dd it wrong in front of your God.
Then tell me,why dd the Bible allowed torturing,killing of innocent(women,children,elders,).What should i learn from your God who adviced it.
How can i be sure that,the same God claims to be Lovely,humble, can do such evils.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.