Kinjekitile Jr
JF-Expert Member
- Dec 12, 2021
- 596
- 1,709
Kuna a researcher aliangalia maandamano between 1900-2000 yaliyofanikiwa kufanikisha regime change akagundua kitu called The 3.5% Rule. Aligundua kwamba maandamano yaliyofanikiwa kuondoa serikali madarakani ni yale ambayo 3.5% ya population ilitokea na kuenda mtaani kuandamana. Ingawa it's not strictly a rule, but it's a good observation that seems to hold true to this day, mfano Bangladesh 2024.
Hii 3.5% kwa Tanzania ni 2,539,732.
By the logic above, this is the number we have to mobilize ili kuondoa CCM madarakani. Tukifanikiwa kushawishi 2.5 million Tanzanians waende barabarani, hakika, CCM hawatoboi.
Sasa, swali ninalojiuliza kwa sasa ni... Je... Wiki ijayo watatoka 2.5 million kweli?
Kuna jitihada gani zimewekwa ili kufikisha hiyo 2.5 million? Na kama jitihada ziliizofanyika mpaka sasa hazioneshi kama hata nusu ya hawa watu 2.5 million watatokea, kuna haja kweli ya kwenda mtaani at all?
Unfortunately, tunaopambana nao wamejipanga, je tutafanikiwa tusipojipanga zaidi yao? Moja ya criticisms nilizotoaga kabla ya yale 29/10 ni kwamba hatukuwa kama wananchi tumejipanga vya kutosha, na unfortunately, *** CCM, hayakufanikiwa. Sasa tumejifunza nini kutoka maandamano hayo ili tusirudie kufeli tena Jumanne ijayo? Mfano, moja ya changamoto watu walizokutana nazo ni kuishiwa na chakula ndani, je tumetaarifu watu wetu kustock chakula na pesa japo kidogo kujiandaa na maandamano hayo?
Kuna wazo ninalolipataga ambalo, samahani kama nitawakwaza, ila ni kitu kinachonifikirisha sana. Tunaweza kuamini nia na madhumuni ya wapangaji/wanaharakati wetu kwamba malengo yetu ni sawa na yao? Ni dhahiri kwamba wapangaji/wanaharakati hupokea pesa kutoka kwa mashirika mbali mbali ambayo yamehusika na uchochezi kwa maslahi yao. Money always complicates things. Kama maandamano haya kwa kuangalia tu hayatafanikiwa kuondoa CCM (3.5% Rule), je, wao wanapata nini kuchochea maandamano haya kwa kasi hii despite that?
Kwa mtazamo wangu... Maandamano yoyote yatakayopangwa pasipo kuwa na uhakika wa 3.5% ni sawa na kutoa kafara na kucheza na maisha ya Watanzania. Kama lengo ni kuondoa CCM anything short of that is failure. Na since maandamano is the strongest weapon in our arsenal, kweli tuchezee this weapon mara kwa mara kama hivi? Si mwisho wa siku itaishia kuwa butu? Kumbuka watu bado wana vidonda vya 29/10, lakini tangu hiyo 29/10 wameshaita maandamano mara mbili au sijui tatu, na yote yamebuma. Sasa kuna nini cha tofauti kuhusu haya? Binafsi sijaona, pengine mnielimishe. Lakini despite it, kuna watu watauwawa hiyo jumanne. Kwangu mimi hatia ya damu yao ipo juu ya CCM pamoja na wapangaji waliowaambia watoke pasipo mpango stahiki.
Kwa ninavyoona na ninachoshauri ni kwamba haya maandamano hayajapangwa vizuri vya kutosha, na inabidi ya hairishwe. Yapangwe mengine, maybe mwakani and in the meantime tutafute a channel ya kuplan, kudisseminate hiyo plan, kujenga imani ya watu, mpaka kumobilize hiyo 3.5%. Ningeshauri kuanza na migomo baridi baadala ya kutegemea tu siku moja. Hiyo siku ndo iwe crescendo, ila mziki ungeanza muda sana. Ila hii ya kutegemea ngome yaoo waliyoijenga kwa miaka 60 tutaitoa ndani ya siku moja, kwa kweli, sina imani nayo.
I know ipo nje ya uwezo wangu, na najua hamna kitakachobadilika, ila... Inanifikirisha sana. Tusubiri tuone hiyo Jumanne ijayo.
Kuna a sense of helplessness naiona kila nikienda mtaani nyusoni mwa karibia Watanzania wote tangu 29/10. Inasisikitisha sana na kunijaza uchungu. Ila natumani ipo siku tu, kila kirefu kina ncha. Sasa tujipange kurudisha tabasamu kwa wote. Mungu ibariki Tanzania.
Anyway. Sisemi haya kukatisha watu tamaa, ni mtazamo wangu tu. Feel free kutokubaliana na mimi, samahani kwa lolote nililosema ambalo litamkwaza yoyote. Best.
Hii 3.5% kwa Tanzania ni 2,539,732.
By the logic above, this is the number we have to mobilize ili kuondoa CCM madarakani. Tukifanikiwa kushawishi 2.5 million Tanzanians waende barabarani, hakika, CCM hawatoboi.
Sasa, swali ninalojiuliza kwa sasa ni... Je... Wiki ijayo watatoka 2.5 million kweli?
Kuna jitihada gani zimewekwa ili kufikisha hiyo 2.5 million? Na kama jitihada ziliizofanyika mpaka sasa hazioneshi kama hata nusu ya hawa watu 2.5 million watatokea, kuna haja kweli ya kwenda mtaani at all?
Unfortunately, tunaopambana nao wamejipanga, je tutafanikiwa tusipojipanga zaidi yao? Moja ya criticisms nilizotoaga kabla ya yale 29/10 ni kwamba hatukuwa kama wananchi tumejipanga vya kutosha, na unfortunately, *** CCM, hayakufanikiwa. Sasa tumejifunza nini kutoka maandamano hayo ili tusirudie kufeli tena Jumanne ijayo? Mfano, moja ya changamoto watu walizokutana nazo ni kuishiwa na chakula ndani, je tumetaarifu watu wetu kustock chakula na pesa japo kidogo kujiandaa na maandamano hayo?
Kuna wazo ninalolipataga ambalo, samahani kama nitawakwaza, ila ni kitu kinachonifikirisha sana. Tunaweza kuamini nia na madhumuni ya wapangaji/wanaharakati wetu kwamba malengo yetu ni sawa na yao? Ni dhahiri kwamba wapangaji/wanaharakati hupokea pesa kutoka kwa mashirika mbali mbali ambayo yamehusika na uchochezi kwa maslahi yao. Money always complicates things. Kama maandamano haya kwa kuangalia tu hayatafanikiwa kuondoa CCM (3.5% Rule), je, wao wanapata nini kuchochea maandamano haya kwa kasi hii despite that?
Kwa mtazamo wangu... Maandamano yoyote yatakayopangwa pasipo kuwa na uhakika wa 3.5% ni sawa na kutoa kafara na kucheza na maisha ya Watanzania. Kama lengo ni kuondoa CCM anything short of that is failure. Na since maandamano is the strongest weapon in our arsenal, kweli tuchezee this weapon mara kwa mara kama hivi? Si mwisho wa siku itaishia kuwa butu? Kumbuka watu bado wana vidonda vya 29/10, lakini tangu hiyo 29/10 wameshaita maandamano mara mbili au sijui tatu, na yote yamebuma. Sasa kuna nini cha tofauti kuhusu haya? Binafsi sijaona, pengine mnielimishe. Lakini despite it, kuna watu watauwawa hiyo jumanne. Kwangu mimi hatia ya damu yao ipo juu ya CCM pamoja na wapangaji waliowaambia watoke pasipo mpango stahiki.
Kwa ninavyoona na ninachoshauri ni kwamba haya maandamano hayajapangwa vizuri vya kutosha, na inabidi ya hairishwe. Yapangwe mengine, maybe mwakani and in the meantime tutafute a channel ya kuplan, kudisseminate hiyo plan, kujenga imani ya watu, mpaka kumobilize hiyo 3.5%. Ningeshauri kuanza na migomo baridi baadala ya kutegemea tu siku moja. Hiyo siku ndo iwe crescendo, ila mziki ungeanza muda sana. Ila hii ya kutegemea ngome yaoo waliyoijenga kwa miaka 60 tutaitoa ndani ya siku moja, kwa kweli, sina imani nayo.
I know ipo nje ya uwezo wangu, na najua hamna kitakachobadilika, ila... Inanifikirisha sana. Tusubiri tuone hiyo Jumanne ijayo.
Kuna a sense of helplessness naiona kila nikienda mtaani nyusoni mwa karibia Watanzania wote tangu 29/10. Inasisikitisha sana na kunijaza uchungu. Ila natumani ipo siku tu, kila kirefu kina ncha. Sasa tujipange kurudisha tabasamu kwa wote. Mungu ibariki Tanzania.
Anyway. Sisemi haya kukatisha watu tamaa, ni mtazamo wangu tu. Feel free kutokubaliana na mimi, samahani kwa lolote nililosema ambalo litamkwaza yoyote. Best.