Safi sana , hapo ndiyo utajuwa damu nzito kuliko maji.
Wewe na Waislam wenzako huwa mnasema Al shaabab ni ya wamarekani, mbona Marekani imeua top wao?, Pia wameweka pesa nyingi kwa atakaefichua viongozi wa juu?
Pia Marekani imeweka dau kwa atakaefichua alipo kiongozi wa Boko haram
Pia marekani iko msitari wa mbele kupambana na ISIS.
Muwe mnaacha propaganda za kitoto, wanaume wanapigana jihad za kidini nyie mnarusha mpira kwa Wamarekani
Wewe una matatizo makubwa sana ya ufahamu, sisi tunayarudia tu, yanasemwa na hawa, sikiliza:
Hao wanazungumza tu, yaani Marekani ianzishe kundi, iwe ya kwanza kuua viongozi, pia Marekani iwe na uwezo wa kushawishi watu wavae mabomu na kujitoa muhanga?, siku hizi naona hata watoto wa miaka 10 wanajitoa Muhanga
There was a guy from Colombia used to hate God and me with passion. Huyu jamaa, hata kuangalia sura yangu ilikuwa hataki. This person, even vowed to get rid of me. One day I told his friends that, the dude will accept Jesus. Everybody laughed at me.
Do you know, Dr. Guzman is now preaching Jesus Christ. I mean, if a Colombian Cartel can accept Jesus, these guys you mentioned are nothing before the omnipotent God.
[h=1]An honest Israeli Jew tells the Real Truth about Israel[/h]
[video=youtube_share;etXAm-OylQQ]http://youtu.be/etXAm-OylQQ[/video]
Wewe na Waislam wenzako huwa mnasema Al shaabab ni ya wamarekani, mbona Marekani imeua top wao?, Pia wameweka pesa nyingi kwa atakaefichua viongozi wa juu?
Pia Marekani imeweka dau kwa atakaefichua alipo kiongozi wa Boko haram
Pia marekani iko msitari wa mbele kupambana na ISIS.
Muwe mnaacha propaganda za kitoto, wanaume wanapigana jihad za kidini nyie mnarusha mpira kwa Wamarekani
Inaonesha hata Hillary Clinton hujamsikiliza licha ya George Galloway.
Unashangaa nini wakati hao ndiyo wauaji wakubwa duniani?
Au Lugha imekupiga chenga?
Pole sana mama, hizi ndio verse za Ugaidi. Hivi kweli Godane alieua maalufu ya watu kauawa katika njia ya Mungu, hivi mbona Waislam mnamfanya Mungu aonekane wa kawaida? Hata siku moja Mungu hayuko hivyo, wala haitaji kupiganiwa. Hivi kiumbe ulichokiumba wewe utakitaka kipigane kwa ajili yako? Pole sana, tatizo ni ujumbe gani ulipewa ukiwa mdogo
Adiosamigo, do you see what is happening in Somalia? Tell Ms FaizaFoxy that the time has come to clear the jibric atrocities currently executed by Al Shabab.
I am sorry to inform you that, the tube you annexed is one year old.Watch what is happening in Kenya and what the Kenyans are saying: https://www.jamiiforums.com/kenyan-politics/796108-jicho-pevu-timbwili-la-lamu.html
I am sorry to inform you that, the tube you annexed is one year old.
All I know is this: Top Al-Shabab leader surrenders in Somalia | Al Jazeera America