Mohamed Said
JF-Expert Member
- Nov 2, 2008
- 20,916
- 30,259
Ibn Hazim Media Centre imechapa vitabu vinne vidogo vidogo kwa usomaji wa haraka na kufanya jumla ya vitabu vinne kuhusu historia ya uhuru wa Tanganyika.
Kitabu cha tatu kinaeleza historia ya Gerezani ambako ndiyo ilikuwa ngome ya TANU na harakati za kudai uhuru wa Tanganyika.
Mwandishi anawachukua wasomaji wake katika safari ya miguu mtaa kwa mtaa wakipiga hodi nyumba kwa nyumba kwani chini ya kila paa kuna historia.
Kitabu cha nne kimeeleza historia ya marehemu Sheikh Ilunga Hassan Kapungu ambae katika maisha yake jina lake lilisimama kama nembo inayoeleza na kuthibitisha changamoto
zilizokuja na uhuru:
- Watu Mashuhuri Katika Uhuru wa Tanganyika No. 1, Ibn Hazm Media Centre, 2019 Dar es Salaam.
- Watu Mashuhuri Katika Uhuru wa Tanganyika No.2, Ibn Hazm Media Centre, 2019 Dar es Salaam
- Dar es Salaam na Wazalendo Wake Mashujaa Katika Kupigani Uhuru wa Tanganyika Ibn Hazm Media Centre, 2019 Dar es Salaaam
- Watu Mashuhuri Katika Kuulingania Uislam Tanzania, Sheikh Ilunga, Ibn Hazm Media Centre, 2019 Dar es Salaam
Kitabu cha tatu kinaeleza historia ya Gerezani ambako ndiyo ilikuwa ngome ya TANU na harakati za kudai uhuru wa Tanganyika.
Mwandishi anawachukua wasomaji wake katika safari ya miguu mtaa kwa mtaa wakipiga hodi nyumba kwa nyumba kwani chini ya kila paa kuna historia.
Kitabu cha nne kimeeleza historia ya marehemu Sheikh Ilunga Hassan Kapungu ambae katika maisha yake jina lake lilisimama kama nembo inayoeleza na kuthibitisha changamoto
zilizokuja na uhuru: