Soma mkasa huu ulionikuta

Pole kwa tukio ila jaribu kujichunguza vizur mkuu huenda kuna sehemu ulishabugi kwa kujua au kutokujua. Mfano, huenda hiyo pikipiki uliinunua kwa mtu kumbe n ya wizi so wameshakulia target wakihtaj pkpk yao. Jitathimin tu utajua wap hauko sawa. Tibu hilo tatizo maana had Leo hujajua ni akina nan walikuwa wanakufatilia.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…