prince alen
Member
- May 29, 2012
- 29
- 6
Jamaa alikuwa uwanja wa ndege akaingia ndani ya ndege kakuta kitabu kimeandikwa jinsi ya kurusha ndege toleo la kwanza
1.kuwasha bonyeza kitufe cha kijaniakabonyeza_ikawaka 2.kuondoka cha njano akabonya_ikaanza ku-run.3.kuruka chekundu akabonya_kitu kika enda hewa3
4.kuweka level blue akabonya_akackia you are 10000 miles abov sea level akafunua kitabu...jins ya kutua..subiri toleo la pili..
1.kuwasha bonyeza kitufe cha kijaniakabonyeza_ikawaka 2.kuondoka cha njano akabonya_ikaanza ku-run.3.kuruka chekundu akabonya_kitu kika enda hewa3
4.kuweka level blue akabonya_akackia you are 10000 miles abov sea level akafunua kitabu...jins ya kutua..subiri toleo la pili..