Tuwaseme
JF-Expert Member
- Oct 8, 2014
- 645
- 1,194
Mwalimu anauliza wanafunzi nini wanafanya baada ya school?
Mwanafunzi wa kwanza akajibu naenda kwa Fereji Kibwana kununua bangi🌿.
Wapili akajibu naenda kwa Fereji Kibwana kununua vidonge vya kulevya.
Watatu akajibu naenda kwa Fereji Kibwana kununua beer.
Wanne akajibu mie huwa napumzika, nasoma quran,navuta uradi na natafuta riziki.
Mwalimu:mashalah kijana mzuri na hodari sana.
Na jina lako ni nani? FEREJI KIBWANA.
Mwanafunzi wa kwanza akajibu naenda kwa Fereji Kibwana kununua bangi🌿.
Wapili akajibu naenda kwa Fereji Kibwana kununua vidonge vya kulevya.
Watatu akajibu naenda kwa Fereji Kibwana kununua beer.
Wanne akajibu mie huwa napumzika, nasoma quran,navuta uradi na natafuta riziki.
Mwalimu:mashalah kijana mzuri na hodari sana.
Na jina lako ni nani? FEREJI KIBWANA.