Soma hiki kituko Fereji Kibwana

Soma hiki kituko Fereji Kibwana

Tuwaseme

JF-Expert Member
Joined
Oct 8, 2014
Posts
645
Reaction score
1,194
Mwalimu anauliza wanafunzi nini wanafanya baada ya school?
Mwanafunzi wa kwanza akajibu naenda kwa Fereji Kibwana kununua bangi🌿.

Wapili akajibu naenda kwa Fereji Kibwana kununua vidonge vya kulevya.

Watatu akajibu naenda kwa Fereji Kibwana kununua beer.

Wanne akajibu mie huwa napumzika, nasoma quran,navuta uradi na natafuta riziki.

Mwalimu:mashalah kijana mzuri na hodari sana.
Na jina lako ni nani? FEREJI KIBWANA.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom