Nafasi ndio hiyo imetolewa, wataka usaidiwe vipi?Tungekuwa na upendo watanzania tungesaidiana kujaza hizi fomu kadiri inavyofaa twende huko ma USA
Na tutakaofanikisha kwenda tutumie njia nyingine kuwaalika wabongo wengine mpaka nafasi kama hizi zikitokea tena tuzitumie ipasavyo
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Ungefupisha maneno hii ni bahati na sibu ya uraia,hivi kama USA wanapenda raia wa nchi nyingine,kwanini wanazuia raia wa Haiti waliompakani mwao wasiingie USA?Akili za kuambiwa???????DV Ni Kirefu cha Diversity Immigrants Visa Program, ni Mfumo ambao ulianzishwa kulingana Na sheria Ya mwaka 1990 ya Uhamiaji ambayo Inawapa wahamiaji kibali cha Kuwa Raia Wa Marekani Hvyo basi Kusaidia Katika Kila Jambo ikiwa ni Elimu, Huduma Bora za Kiafya Kama Wanavyopewa Wazawa Halisi Wa Marekani .
Hivyo basi DV 2023 inamaanisha Mwaka 2023 ndo Mwaka ambao walioshinda 2021 wataanza kuwa Rasmi Raia Wa Kimarekani.Na DV 2023 inaongozwa na Kusimamiwa na Department Of States(DOS).
Hivyo Basi Serikali ya Marekani (USA) Kila mwaka inatoa Nafasi 50000 (50000 green Cards) kwa Raia wa nchi Ambazo zina wahamiaji (Immigrants)Wachache Ndani ya Nchi ya Marekani, ambapo Cards hizo zinawasaidia Kupata Permanent Visa na kuwa Raia Wa Marekani.
Application zinafanyika kupitia website ya Taifa inayoitwa United States of Citizenship and Immigration Services (USCIS) baada ya Kujaza Form Number I-485, Form hizo Wametangaza Zitaanza Kufunguka kwanzia Wiki Hii yan Tarehe 6 mpaka 9 mwezi huu wa Kumi.
Ujazaji wa Form ni Bure kabisa Yaani Hakuna Gharama.Form Hizo zinapage kama 18 au zaid Hivyo basi wengine huwa wanakata Tamaa na kuishia Njiani, Unachotakiwa Nikuijaza Kwa usahihi na kwa umakini bila kukosea ,Sababu Ukiijaza kwa makosa Nakupewa nafasi Baadae wakigundua Kuwa ulikosea Wanakutoa .
Wote Walioshiriki Watatumiwa Code Ambapo Computer Program Itachaguwa Hizo Code Random Ambapo Itatoa Code za waliochaguliwa na Ndio watakaokuwa washindi.
Faida ya kupata Green card:
1.You can sponsor immediate relatives.
2.Attend university for less.
3.Contribute to political campaigns.
4.Easier travel in and out of the United States.
5.Qualify to receive social security benefits.
6.Better career opportunities.
7. Less official paperwork to fill out.
Ukichaguliwa kama Mshindi Itakubidi Ugharamikie Pesa ya Usafiri Sababu watakachokusaidia wewe ni Permanent Visa(Green card) sio kwamba watakupa na Pesa ya Usafiri au kukupa sehemu pakuishi.
Ukishindwa kujaza Form Unaweza kwenda US Embassy In Tanzania kwa Maelezo zaidi.
Maestro De Quimica !!!OPView attachment 1962203
Although tuongelee wanaofaham mkuu, hao wasiofaham tzwaweke pembeni.Wabongo wengi hawazijui hizi mambo na ukiwaambia wanaona kama unawazingua tu .
Exactly,wengi wameingia kwa gia ya kusoma hapa wengi wanatoka kimaisha kwa njia hiyo kutokana na masharti nafuu ya kufanya kazi hasa chuoni au internNiko YouTube hapa naangalia channel ya I am marwa.
Aisee Lazima nitaenda kuishi marekani siku moja.
Lakin watu wengi anaowaonyesha kwenda huko wameenda kihalali yaan kwa scholarship asa za masters.
Ukienda Bila elimu kutafuta maisha utapachukia kweli kweli
Hii ni ya wapopo mkuu (nijeriaz) angalia usije kupigwa.Maelezo +vigezo vyote hivo apo kwenye form kuhusu DV program.
Vip tena kuna tatizo kwenye hiyo documentHii ni ya wapopo mkuu (nijeriaz) angalia usije kupigwa.
Mhaya pekee uliebaki KamachumuNiko YouTube hapa naangalia channel ya I am marwa.
Aisee Lazima nitaenda kuishi marekani siku moja.
Lakin watu wengi anaowaonyesha kwenda huko wameenda kihalali yaan kwa scholarship asa za masters.
Ukienda Bila elimu kutafuta maisha utapachukia kweli kweli
Sio hatupendi bali Mamlaka husika zinaona kuwa tukienda huko nje tunafaidi sana so wanaweka vikwazo vingi kuipata ili wote tule msoto hapa ardhi yenye laana ya CCM.Wa tz wengi hatuna tabia ya kumiliki passport na kwenye huu mchakato ni lazima uwe na passport number. Tofauti na hapo labda uchague option nyingine ambazo naona kwa wengi hazita faa.
Nipo nafatilia passport.nitaishi marekani siku moja.
DV Ni Kirefu cha Diversity Immigrants Visa Program, ni Mfumo ambao ulianzishwa kulingana Na sheria Ya mwaka 1990 ya Uhamiaji ambayo Inawapa wahamiaji kibali cha Kuwa Raia Wa Marekani Hvyo basi Kusaidia Katika Kila Jambo ikiwa ni Elimu, Huduma Bora za Kiafya Kama Wanavyopewa Wazawa Halisi Wa Marekani .
Hivyo basi DV 2023 inamaanisha Mwaka 2023 ndo Mwaka ambao walioshinda 2021 wataanza kuwa Rasmi Raia Wa Kimarekani.Na DV 2023 inaongozwa na Kusimamiwa na Department Of States(DOS).
Hivyo Basi Serikali ya Marekani (USA) Kila mwaka inatoa Nafasi 50000 (50000 green Cards) kwa Raia wa nchi Ambazo zina wahamiaji (Immigrants)Wachache Ndani ya Nchi ya Marekani, ambapo Cards hizo zinawasaidia Kupata Permanent Visa na kuwa Raia Wa Marekani.
Application zinafanyika kupitia website ya Taifa inayoitwa United States of Citizenship and Immigration Services (USCIS) baada ya Kujaza Form Number I-485, Form hizo Wametangaza Zitaanza Kufunguka kwanzia Wiki Hii yan Tarehe 6 mpaka 9 mwezi huu wa Kumi.
Ujazaji wa Form ni Bure kabisa Yaani Hakuna Gharama.Form Hizo zinapage kama 18 au zaid Hivyo basi wengine huwa wanakata Tamaa na kuishia Njiani, Unachotakiwa Nikuijaza Kwa usahihi na kwa umakini bila kukosea ,Sababu Ukiijaza kwa makosa Nakupewa nafasi Baadae wakigundua Kuwa ulikosea Wanakutoa .
Wote Walioshiriki Watatumiwa Code Ambapo Computer Program Itachaguwa Hizo Code Random Ambapo Itatoa Code za waliochaguliwa na Ndio watakaokuwa washindi.
Faida ya kupata Green card:
1.You can sponsor immediate relatives.
2.Attend university for less.
3.Contribute to political campaigns.
4.Easier travel in and out of the United States.
5.Qualify to receive social security benefits.
6.Better career opportunities.
7. Less official paperwork to fill out.
Ukichaguliwa kama Mshindi Itakubidi Ugharamikie Pesa ya Usafiri Sababu watakachokusaidia wewe ni Permanent Visa(Green card) sio kwamba watakupa na Pesa ya Usafiri au kukupa sehemu pakuishi.
Ukishindwa kujaza Form Unaweza kwenda US Embassy In Tanzania kwa Maelezo zaidi.
Maestro De Quimica !!!OPView attachment 1962203
Wazungu wanakuja bongo, na hawana ndugu, wewe unashindwa nini ?Kwahiyo mkuu hata pa kufikia kuanza maisha hawakupi dah mbona pagumu sana hapo, unajua maisha ya huko sio mchekee ni Aghali kwelikweli alafu unapambana kupata nauli unafika airport huna unaemjua wala huna unakokujua utaanza anzaje sasa. Waache mzaha
Bongo kuishi ni rahisi sana.Wazungu wanakuja bongo, na hawana ndugu, wewe unashindwa nini ?