Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawapendi kwenda skonga wenyewe ,studio ndo zao
tofauti yao na waislam ni elimu ahera wao studio kwelikweli kurekodi
Machoko wapo wengi wanataka kuzamia ulaya elimu yenyewe hawana unadhani watafanya shughuli gani zaidi ya kugawa gotiUnajistukia !!
ww nenda bila kisomo watakula hiyo duara yako mpaka ukome
Mbona kwenye kipengele cha Tariff wameonesha malipo?DV Ni Kirefu cha Diversity Immigrants Visa Program, ni Mfumo ambao ulianzishwa kulingana Na sheria Ya mwaka 1990 ya Uhamiaji ambayo Inawapa wahamiaji kibali cha Kuwa Raia Wa Marekani Hvyo basi Kusaidia Katika Kila Jambo ikiwa ni Elimu, Huduma Bora za Kiafya Kama Wanavyopewa Wazawa Halisi Wa Marekani .
Hivyo basi DV 2023 inamaanisha Mwaka 2023 ndo Mwaka ambao walioshinda 2021 wataanza kuwa Rasmi Raia Wa Kimarekani.Na DV 2023 inaongozwa na Kusimamiwa na Department Of States(DOS).
Hivyo Basi Serikali ya Marekani (USA) Kila mwaka inatoa Nafasi 50000 (50000 green Cards) kwa Raia wa nchi Ambazo zina wahamiaji (Immigrants)Wachache Ndani ya Nchi ya Marekani, ambapo Cards hizo zinawasaidia Kupata Permanent Visa na kuwa Raia Wa Marekani.
Application zinafanyika kupitia website ya Taifa inayoitwa United States of Citizenship and Immigration Services (USCIS) baada ya Kujaza Form Number I-485, Form hizo Wametangaza Zitaanza Kufunguka kwanzia Wiki Hii yan Tarehe 6 mpaka 9 mwezi huu wa Kumi.
Ujazaji wa Form ni Bure kabisa Yaani Hakuna Gharama.Form Hizo zinapage kama 18 au zaid Hivyo basi wengine huwa wanakata Tamaa na kuishia Njiani, Unachotakiwa Nikuijaza Kwa usahihi na kwa umakini bila kukosea ,Sababu Ukiijaza kwa makosa Nakupewa nafasi Baadae wakigundua Kuwa ulikosea Wanakutoa .
Wote Walioshiriki Watatumiwa Code Ambapo Computer Program Itachaguwa Hizo Code Random Ambapo Itatoa Code za waliochaguliwa na Ndio watakaokuwa washindi.
Faida ya kupata Green card:
1.You can sponsor immediate relatives.
2.Attend university for less.
3.Contribute to political campaigns.
4.Easier travel in and out of the United States.
5.Qualify to receive social security benefits.
6.Better career opportunities.
7. Less official paperwork to fill out.
Ukichaguliwa kama Mshindi Itakubidi Ugharamikie Pesa ya Usafiri Sababu watakachokusaidia wewe ni Permanent Visa(Green card) sio kwamba watakupa na Pesa ya Usafiri au kukupa sehemu pakuishi.
Ukishindwa kujaza Form Unaweza kwenda US Embassy In Tanzania kwa Maelezo zaidi.
Maestro De Quimica !!!OPView attachment 1962203
dah umempa jbu la kishujaa mnoSorry mr
Sifiri wasenge
Naona unatafuta basha kinguvu
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
DahSorry mr
Sifiri wasenge
Naona unatafuta basha kinguvu
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Hii ni kwenda na kurudi, ya kwenda tu itakuwa nusu yake na chini zaidi.1.8M ,hawakupi Pakuishi.
we wakike au wakiume..😁samhn lkinHi America!!!!!!
Soon i will be there.....!!!!
Yaani mmoja akeshe akijisomea, mwingine anabembea huko, halafu aachiwe aigilizie tu?! Ingekuwa dunia iko hivyo basi matajiri wangetoa mali zao kwa masikini kiulaini.Roho mbaya tulifundishwa shuleni utakuta mwanafunzi mtihani Ana uhatamia kinoma mradi mwenzake asije akaona akagezea wakalingana,unafichA mtihani ili iweje sasa
TATIZO NI T/SHILLINGS..Kama huna fursa ya maana hapa nchini ni vizuri kujaribu kwenda kutafuta fursa sehemu nyingine.
Lakini ukweli ni kuwa kazi zipo lakini za kutumia nguvu ambazo wenyeji hawazitaki zinafanywa zaidi na wahamiaji.
Ukiweza kusoma ili upate elimu yao ni vizuri zaidi.
Lakini kama una fursa hapa nchini ni bora zaidi maana njia za kukua zipo nyingi na wazi zaidi.