Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 34,434
- 59,295
Asante sana ndugu moderator kwa maelezo yako muhimu !!.Ndugu WanaJF,
Ni kweli kuna tatizo kidogo la kiufundi linaloathiri baadhi ya watumiaji, hivyo kushindwa kupokea notifications na baadhi ya features kwa wakati..
Hata hivyo mambo mazuri yanakuja. Tunafanyia kazi kuhakikisha changamoto hiyo na nyinginezo zote zinamalizika mapema iwezekanavyo..
Hakikisha unasanikisha maboresho mapya kila mara kwenye App yako..
Tunaomba uvumilivu wenu kidogo tu!
Asante kwa ushauri. Tutazingatia.Asante sana ndugu moderator kwa maelezo yako muhimu !!.
Nishaur kitu kidogo ,, nivema muwe mnatupa taarifa ," kwamba ndugu wateja Wetu kuna maboresho tunayafanya hivo tunaomba samahani kwa usumbufu utakaojitokeza".
Nadhan hiyo ingekua haitupi wasiwasi kwakua tayar akili zetu mmeziandaa lkn hii ya kimya kimya , watu wana Uninstall app ,lkn wapi,sasa tunapata matumizi hasi ya MB !!
Vyuma vimekaza Mkuu.
OP ya kijani INA maana gani?? Tusiwe tunatumia kitu bila kujua.Ndugu WanaJF,
Ni kweli kuna tatizo kidogo la kiufundi linaloathiri baadhi ya watumiaji, hivyo kushindwa kupokea notifications na baadhi ya features kwa wakati..
Hata hivyo mambo mazuri yanakuja. Tunafanyia kazi kuhakikisha changamoto hiyo na nyinginezo zote zinamalizika mapema iwezekanavyo..
Hakikisha unasanikisha maboresho mapya kila mara kwenye App yako..
Tunaomba uvumilivu wenu kidogo tu!
Nitaipata wapi T shirt ya jamii forum?Mkuu Elli, maboresho yaliyofanyika ni ya kiufundi kwa upande wa APP..
Huko kwenye threads unaweza kuripoti hayo maudhui ili yapitiwe na mods kama yanakiuka sheria za JamiiForums yashughulikiwe!
Asante sana kwa kutuunga mkono kwa kununua tisheti zetu.
Tupo pamoja!
Own PostOP ya kijani INA maana gani?? Tusiwe tunatumia kitu bila kujua.
Au ndio maana sikupata meseji yako Mama yeyoo, nimesamehe kila kitu. Pole sana. Nikasema umeanza lini kujifunza uongo?
Hatimaye umerudi avatar yako huwa naiogopaNaunga mkono hoja wakuu...
Hili tatizo nami linanikabili hata inapelekea kukosa hamu na ladha halisi nilio izowea.
Bila notifications jf members tuna barizi kama vipofu.....
Cc: Invisible na wengine nilio wasahau please mkuje
baba yeyoo nimecheka naona notification zimerudi
Hayo matatizo nafikiri mlipata nyie wenye vifaa advanced, sie wa Tecno tunaotumia browser tulikua tunapata kama kawaida. (Ila PM yako sijapata!!!!)
Ukicheka nafurahi ujue...nikutakie mchana mwema Mama Yeyoo
Pole sana na changamoto za maisha mkuu.App yenu ni uchafu mtupu sijui kwanini mnahangaika na vitu vilivyowazidi uwezo? Nyie pambaneni na Facebook
app hamuwezi chochote hopeless kabisa
Hahaha sasa nani mwenye changamoto huu uchafu wenu JF tumekua tukiulalamikia muda mrefu, liapplication lenyewe lina update kila dakika lakini cha maana hukuna, unapata notification za 1000 updates per day with nothing changed. RubbishPole sana na changamoto za maisha mkuu.
Binafsi sijaona sababu ya kuandika ulichokiandika.
msisitizo wa pm yangu hujapata hivi lini unakuja uniletee ubuyu majuzi nilitumiwa ubuyu pakti 3 kuna rafiki yangu mmoja yupo huko anakujaga huku kuleta biashara zake
Habari mkuu, T-shirt zinapatikana. Tuwasiliane kupitia mawasiliano yaliyo kwenye hii mada Fulana(t-shirt) za JamiiForums sasa zinapatikana kwa bei ya TZS 20,000/=Nitaipata wapi T shirt ya jamii forum?
Mie mdau mkubwa wa (J.F)
Usiiogope comrade, this avatar is very unique and so attractive......Hatimaye umerudi avatar yako huwa naiogopa
Nikuunganishe na mtu wa huko anayekuja sana huku ni mkaka umpe ye ataniletea akileta biashara zakeWe nielekeze tu niuache wapi? Utaupata next week. App ikitengamaa unaweza kupata alert PM hata weekend kwamba ubuyu umewasili.
Haha hamia Twitter kwani ni lazima kutumia JfApp yenu ni uchafu mtupu sijui kwanini mnahangaika na vitu vilivyowazidi uwezo? Nyie pambaneni na Facebook
app hamuwezi chochote hopeless kabisa
Nikuunganishe na mtu wa huko anayekuja sana huku ni mkaka umpe ye ataniletea akileta biashara zake