Mkuu fanya hivi install app ya zamani alafu login then nenda playstore alafu update moja kwa moja ukiwa umelogin kwenye app ya zamanView attachment 695622
Mkuu bado kuna issues..
Nimelog out... kuja kusign in kuna option ya kuweka user name na password ila option ya kuruhusu kuingia haipo.
Mkuu Sosoliso, asante kwa feedback.Mbona kwenye likes bado inakwamia only 5 likes..? Yaani likes hata zikiwa mia, hapa kwenye app inaishia 5 tuu, kwanini? Naona kwenye ile concern yangu nyingine ya kutokea na option ya app ya JF unapotumiwa link ya JF, mmeifanyia kazi.. Now inapokuja link ya uzi, ninapofungua inakuja na option ya Jf App..
Duuh kwa hiyo bora nisi update ausio!!??Notifications bado ni shida
Salaam,
Tunapenda kuwataarifu wateja wetu kwamba hatimaye tumekamilisha maboresho tuliyokuwa tukiyafanya kwenye APP ya JamiiForums na sasa inapatikana ikiwa na muonekano mzuri zaidi pamoja na urahisi wa kutumia. Unaweza kuipakua sasa au kama tayari unayo tafadhali fanya Update ili kupokea maboresho hayo.
Kwa takribani siku 10, baadhi ya watumiaji wa device za mfumo wa Android mlikutana na changamoto ya kutoweza kuipata App ya JamiiForums kupitia Playstore; JamiiForums haipatikani Playstore. Nini tatizo?
Tunashukuru kwa uvumilivu wenu katika kipindi chote tulichokuwa tukiifanyia kazi.
Kuna swali lolote?
Karibu..
Ahsante Mod.Mkuu, itakuwa ni network error kwa upande wako.
Jaribu kuangalia tena. Ikibidi ifunge na uifungue upya App yako.
Hata Mimi mkuu najutaaa yani nimbayaaa sanaBado sana , najuta kufanya updates
Aisee.Hata Mimi mkuu najutaaa yani nimbayaaa sana
Hiyo option haipo na haitokuwepo mkuu. JamiiForums ni sehemu ya mijadala na uhifadhi wa mijadala hiyo.Kama haiwezekani ku delete au ku edit thread yako bado haijawa poa
Bora hata wewe,nimekimbilia playstore bure mana ugonjwa wa notification bado uko palepaleAisee.
Mimi bado naona sifanyi kwanza japo na hii kongwe nimebaniwa notifications tangu asubuhi
Moja siwrzi kufuta post nikiwa natumia jf app,'wekeni option ya kufutia, pili sioni subscribed and participated threads kama hapo awali, likes and dislikes options.Bado nini mkuu? Tueleze kama kuna tatizo lolote tulifanyie kazi mara moja..
Karibu!