Nashukuru Boss yangu ilikuwa haikubali leo imekubali nashuru sana!!Mkuu, itakuwa ni network error kwa upande wako.
Jaribu kuangalia tena. Ikibidi ifunge na uifungue upya App yako.
Asee PM yangu ina shida gani? Manake siwezi kuingia japo kuna wakati watu wananitumia SMS naona tu ziingiapo ila nikitaka kuingia naambiwa Not support module private messages. Mfano Jana ilikubali kwa muda Wa km dk 10 tu baada ya hapo hadi sasa ni shida. Sasa unakuta mtu anatuma SMS inakaa hadi miezi miwili haijibiwiSalaam,
Tunapenda kuwataarifu wateja wetu kwamba hatimaye tumekamilisha maboresho tuliyokuwa tukiyafanya kwenye APP ya JamiiForums na sasa inapatikana ikiwa na muonekano mzuri zaidi pamoja na urahisi wa kutumia. Unaweza kuipakua sasa au kama tayari unayo tafadhali fanya Update ili kupokea maboresho hayo.
Kwa takribani siku 10, baadhi ya watumiaji hususan wa device za mfumo wa Android mlikutana na changamoto ya kutoweza kuipata App ya JamiiForums kupitia Playstore; JamiiForums haipatikani Playstore. Nini tatizo?
Tunashukuru kwa uvumilivu wenu katika kipindi chote tulichokuwa tukiifanyia kazi.
Kuna swali lolote?
Karibu.. Bonyeza HAPA kuupdate
=====================
UPDATES (March, 2018):
Ndugu WanaJF,
Tumepokea malalamiko kuhusu changamoto kadhaa ikiwemo kuchelewa au kutopokea kabisa notifications kwa watumiaji wa Android.
Wataalamu wetu wanazifanyia kazi changamoto hizo hivyo tunaomba uvumilivu wenu kidogo.
Asante.
Kwenye hii Jf app mpya itakusumbua kurecover password yako. Fanya hivi, toa hiyo app mpya download ya zamani alafu recover password yako then login hukohuko kwenye app ya zaman baada ya hapo ingia playstore update Jf app bila kuitoa hyo ya zamani
Asante
Tshit hzo nazipata wapi na kwa Bei ipiImeboreshwaje? Je maboresho yamehusisha kufuta thread za kipuuzi za Pro-CCM??? Kama hapana, basi maboresho yaliyofanyika yatakua ya kawaida sana. Hata hiyvo hongereni, kesho navaa T-shirt yangu ya JF
Maxence Melo atakujibuTshit hzo nazipata wapi na kwa Bei ipi