Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,902
- 95,405
🤣🤣🤣Kwahio unauliza bebio nimetoka wapi? We mtoto una zereu sana sikuhizi toka uanze michepuko na mzee wa vyura aaah sipumui
🤣🤣🤣Kwahio unauliza bebio nimetoka wapi? We mtoto una zereu sana sikuhizi toka uanze michepuko na mzee wa vyura aaah sipumui
Hiko kinaitwa kitako upawaKwahiyo ndiyo umeamua kuleta picha yangu humu, ifute bana aarh unatunyanyapaa wenye ftlat screens
Kweli kabisa!!! Wanaume tupo wa kutosha na Mikuyenge yetu sasa mnaanzaje kujioa?Nijioe mwenyewe wewe ukiwa wapi? Jinga kabisa wewe
Upawa ?? Jamani 🙄🙄Hiko kinaitwa kitako upawa
Aliokupa umbea hafai kwa kuonja wala kulumangia. Mie niko nimepumzika tu na jua hili nachepukaje.Nimeambiwa uko sehemu unachepuka kama kawaida ýako,mara paap unaibukia huku kulikoni, au mcheps umekuzingua?😀😀 endelea tuu
Kitako kama frampen ya vitumbuaUpawa ?? Jamani 🙄🙄
Bebi nimekumisi, twende ufukweni basi baadae tukale raha. Achana zee la Chura Dede!Nimeambiwa uko sehemu unachepuka kama kawaida ýako,mara paap unaibukia huku kulikoni, au mcheps umekuzingua?😀😀 endelea tuu
Nashangaa sana, wanaume wengi hivo why marrying myself? Never, nikiachika na mkaka mmoja atakuja mwingine na mwingine.Kweli kabisa!!! Wanaume tupo wa kutosha na Mikuyenge yetu sasa mnaanzaje kujioa?
Jamani jamani 😀😀😀 sawa banaKitako kama frampen ya vitumbua
Kabisa chura silolote ...si chochote......nakuja inboxAfu huwa ni kabishi wewe, achana na mimi ntapata wasiopenda chura, kwanza chura mzigo wa minyama uzembe tu ile, usinitishe😬😬
Sitaki na frampen yangu ya vitumbua niende na wewe wapi 😬Bebi nimekumisi, twende ufukweni basi baadae tukale raha. Achana zee la Chura Dede!
Ila we Jamaa una akili mbaya kinoma 😆😬😬😬
Behaviourist umeona sasa baki na mavyura yako, mi naolewa hukuKabisa chura silolote ...si chochote......nakuja inbox
Mtoto alimtoa wapi kama alijioaHivi halima mdee hajajioa kweli yule?
Amini amini nakwambia...mahaba kibaba utayapata. .. Kumkum Habibi chura so kitu...mapenzi yangu arosto..sahau shida na msoto......😘😘Behaviourist umeona sasa baki na mavyura yako, mi naolewa huku
lolYaani nipoteze muda wangu kupiga vimakofi kama hapo?!Labda nitapiga fimbo!View attachment 1643039
Hao ni wajanja wajanja wa mjini wanataka kula mzigo halafu waingie mitini!🚶🚶🚶Behaviourist umeona sasa baki na mavyura yako, mi naolewa huku