mzee wa ndinga
Member
- Feb 25, 2016
- 31
- 27
Hbr za asubuh wana Jamii..
kama kichwa cha hbr kinavosoma. mimi na wenzangu watatu tumelima tangawizi takribani heka 8.Na ninavoandika huu ujumbe, ni kwamba mzgo uko tayari kuvunwa kule Songea.
Changamoto kubwa nikwamba nimekua nacheki bei sokoni naona zinasoma 2000 kwa kilo wakati ununuaji wa mbegu pekee wakati wakupanda ile januari ilitugharimu 2500 kwa kilo.
je niwapi soko zuri naweza pata ili hata pesa irudi yani atleast kuuza kwa 3000 kwa kilo au nini nifanye niweze kuuza kwa faida nzuri.
Nawasilisha!!
Sent using Jamii Forums mobile app
kama kichwa cha hbr kinavosoma. mimi na wenzangu watatu tumelima tangawizi takribani heka 8.Na ninavoandika huu ujumbe, ni kwamba mzgo uko tayari kuvunwa kule Songea.
Changamoto kubwa nikwamba nimekua nacheki bei sokoni naona zinasoma 2000 kwa kilo wakati ununuaji wa mbegu pekee wakati wakupanda ile januari ilitugharimu 2500 kwa kilo.
je niwapi soko zuri naweza pata ili hata pesa irudi yani atleast kuuza kwa 3000 kwa kilo au nini nifanye niweze kuuza kwa faida nzuri.
Nawasilisha!!
Sent using Jamii Forums mobile app