Soko la viazi vitamu Dar es Salaam

Soko la viazi vitamu Dar es Salaam

Bilionea Asigwa

JF-Expert Member
Joined
Sep 21, 2011
Posts
16,578
Reaction score
28,701
Wakuu na wadau wa kilimo..
Ningependa kuelewa soko la VIAZI vitamu Dar es salaam likoje. Mara nyingi zao hili linalimwa na kuvunwa kwa msimu hasa miezi ya kiangazi, je soko lake nalo ni kwa msimu au ni kwa mwaka mzima??..

Suala la pili ni bei, Kwa kilo moja au fungu moja bei yake ni kiasi gani kwa hapa DAR es salaam??

Production ya zao hili wataalamu wa kilimo wanadai ni tani 12 kwa hekari moja au tani 30 kwa hekta na production cost yake iko chini sana kulinganisha na mazao mengi...


Naomba kuwasilisha
 
Kiongozi umenena jambo zuri sana mi pia Niko interested na ulimaji wa viazi vitamu naitaji kufahamu kama Dar inawezekana kulima, mi Nina kiwanja huko kigamboni heka kama 3, 4 hivi sehemu inaitwa Mwongozo. Naomba kujua msimu wa kulima au Ni wakati wote na vipi kuhusu kilimo cha umwagiliaji kinaitaji msimu au unalima wakati wowote. Msaada kwa kwenye uzoefu na hilo wakuu
 
Back
Top Bottom