Mahindi unauzaje kwa kilo moja? yapo wapi? yamevunwa/yatavunwa lini?nina maharage ya uyole 96 (hybrid), ni yale
maharage mekundu. pia tuna mahindi zaidi ya
tani 5000. mwenyewe soko la haya mazao
naomba anijuze. shukrani wakuu
uko wapi?nina maharage ya uyole 96 (hybrid), ni yalemaharage mekundu. pia tuna mahindi zaidi yatani 5000. mwenyewe soko la haya mazaonaomba anijuze. shukrani wakuu
habar wakuu,ninaomba mwenye uelewa na biashara ya mahind huko kariakoo,ni shilling ngapi kwa sasa kwani nina gunia 500,ilikua nikauze Kenya lakini madereva wanakataa wanadai kuna foleni sana hivyo magari yanachukua hadi wiki nne had kushusha mzigo,naomba msaada wenu ndugu zangu kimawazo hasa kama kunasehem naweza uza mzgo wangu huu mm nipo morogoro.natanguliza shukran zangu za dhati
nenda kamuzie bhakresa au azania co watachukuaa....ila mleta mada kmya tatzo jf wengine wana beep tu