Soko la kambale

Soko la kambale

Kofia Baya

Member
Joined
Sep 28, 2017
Posts
9
Reaction score
38
Habari zenu watafutaji wenzangu

Kama kichwa kinavyojieleza hapo juu nimeanza kufanya mradi wa kufuga kambale lakini tatizo na changamoto nilizo nazo mpaka sasa bado sijapata soko ambapo wanaweza kuchukua kwa jumla pindi watapokua maana ni bado wadogo na nimejifunza kuzalisha kambale hivyo nahitaji soko ambapo nitaweza kuuza kambale hao pindi watapokua. Napatikana Dar es salaam.

Natanguliza shukrani za dhati
 
Habari zenu watafutaji wenzangu

Kama kichwa kinavyojieleza hapo juu nimeanza kufanya mradi wa kufuga kambale lakini tatizo na changamoto nilizo nazo mpaka sasa bado sijapata soko ambapo wanaweza kuchukua kwa jumla pindi watapokua maana ni bado wadogo na nimejifunza kuzalisha kambale hivyo nahitaji soko ambapo nitaweza kuuza kambale hao pindi watapokua. Napatikana Dar es salaam.

Natanguliza shukrani za dhati


Wasiliana na Greefish kwa 0767933445. Wapo Dar eneo la Kitunda
 
Badili mtizamo mkuu.

Kwani huwezi fungua bucha wewe binafsi ukauza bila stress,hasa ukizingatia sio kwamba watahama nchi.
 
Back
Top Bottom