Soko la dhahabu na rupia

Kwaito

Senior Member
Dec 9, 2011
140
36
Naomba mnisaidie eti mtu akiwa na dhahabu yake na madini mengine kama rupia na rubi anaweza kupata wapi soko kwa dar es salaam na bei ikoje
 
Mtafute Marijani (a.k.a papaa msofe) na ndugu yake Muzamil, hata ukiwa na tani 100 ya madini wananunua kwa bei nzuri.
 
Mtafute Marijani (a.k.a papaa msofe) na ndugu yake Muzamil, hata ukiwa na tani 100 ya madini wananunua kwa bei nzuri.

Hao wote choo cha kike,nenda wizarani au ingia online utafute soko ndio inalipa wasiliana na wazungu wanatoa mpunga mzuri,ushawahi shika usd 2mils?
 
Back
Top Bottom