K Kwaito Senior Member Dec 9, 2011 140 36 Feb 13, 2012 #1 Naomba mnisaidie eti mtu akiwa na dhahabu yake na madini mengine kama rupia na rubi anaweza kupata wapi soko kwa dar es salaam na bei ikoje
Naomba mnisaidie eti mtu akiwa na dhahabu yake na madini mengine kama rupia na rubi anaweza kupata wapi soko kwa dar es salaam na bei ikoje
Gama JF-Expert Member Jan 9, 2010 13,266 4,716 Feb 13, 2012 #2 Mtafute Marijani (a.k.a papaa msofe) na ndugu yake Muzamil, hata ukiwa na tani 100 ya madini wananunua kwa bei nzuri.
Mtafute Marijani (a.k.a papaa msofe) na ndugu yake Muzamil, hata ukiwa na tani 100 ya madini wananunua kwa bei nzuri.
K Kwaito Senior Member Dec 9, 2011 140 36 Feb 13, 2012 Thread starter #3 matapeli stak nataka watu genuine
King Kong III JF-Expert Member Oct 15, 2010 51,632 68,559 Feb 13, 2012 #4 Gama said: Mtafute Marijani (a.k.a papaa msofe) na ndugu yake Muzamil, hata ukiwa na tani 100 ya madini wananunua kwa bei nzuri. Click to expand... Hao wote choo cha kike,nenda wizarani au ingia online utafute soko ndio inalipa wasiliana na wazungu wanatoa mpunga mzuri,ushawahi shika usd 2mils?
Gama said: Mtafute Marijani (a.k.a papaa msofe) na ndugu yake Muzamil, hata ukiwa na tani 100 ya madini wananunua kwa bei nzuri. Click to expand... Hao wote choo cha kike,nenda wizarani au ingia online utafute soko ndio inalipa wasiliana na wazungu wanatoa mpunga mzuri,ushawahi shika usd 2mils?
Dr Matola PhD JF-Expert Member Oct 18, 2010 56,384 92,705 Feb 14, 2012 #5 Nilikuwa sijui kama kuna madini yanaitwa Rupia.
Mjanga JF-Expert Member Feb 13, 2011 1,238 324 Feb 14, 2012 #6 Huu utapeli wa "KiSUKUMA" umeshafika na hapa JF??