Soko la CCM Katoro, Geita limeuzwa?

Soko la CCM Katoro, Geita limeuzwa?

Maeneo haya ya buse na Katoro wana jf tupo wengi ila hatujuani! Nami napatikana hapa soko la ndizi jirani na Diwani Godi au kwa Yusuf Banana nina kanyumba kangu hapo kananipa pesa ya kusukuma maisha.
 
Maeneo haya ya buse na Katoro wana jf tupo wengi ila hatujuani! Nami napatikana hapa soko la ndizi jirani na Diwani Godi au kwa Yusuf Banana nina kanyumba kangu hapo kananipa pesa ya kusukuma maisha.
Nitakufikia mkuu
 
Leo nimepita nikaona wafanyabiashara wa eneo hilo washalimwa notisi ,Japo baadhi yao waliwagomea na hvo kubadili ramani na kuamua machinga wote watoke ndani ya hilo soko ili kumpisha mwekezaji mpya .
JPEG_20230822_175346_3619364245636218895.jpg
 
Update:
Viongozi waingilie kati hlo suala ,maana wafanyabiashara wote wamegoma kumpisha mwekezaji ,zinaweza kutokea fujo zitakazoleta madhara makubwa.
 
Back
Top Bottom