Mkurya mweupe
JF-Expert Member
- Aug 10, 2023
- 250
- 830
Nilikuwa maeneo ya Katoro ,soko kuu la ccm, nimeona wafanyabiashara wa eneo hilo na machinga wa soko wakilaumu kuwa wamepewa notisi ya siku 49 kupisha mwekezaji mpya wa kujenga hilo soko, ambae amepewa idhini ya ujenz wa hilo soko bila kupewa ushindani wa watu au wawekezaji kushindania, hivo wafanyabiashara wa eneo hilo na baadhi ya viongozi wa CCM wanahisi kuwa kuna harufu ya rushwa imepatikana katika kumpata mwekezaji mpya wa hilo soko, maana yeye anadai gharama yake ya kuingia kwenye chumba ni 5M, wakati hilo eneo lilikuwa linatumika kwa ajili ya wafanyabiashara wadogo wa tabaka la chini ambao mitaji yao wengi ni 1M au chini ya hapo.
Pia kwa upande mwingine wanashangaa kwanini notisi ya kutoka eneo hilo imetolewa kwa muda mfupi sana kinyume na Sheria ,hivo kuonekana kuna harufu ya rushwa na baadhi ya viongozi wa chama wamekuwa wakiwaambia wafanyabiashara kutotii agizo hili, wakidai kwamba baadhi ya viongozi wa chama ,wamepokea rushwa ili zoezi ili likamilike bila wao kuhusishwa na hawajui lolote lilitokea
Hata diwani mmoja wa eneo hili alipoulizwa na wafanyabiashara amesema kuwa huu ni mradi wa watu wameshapiga hela
Kwahyo Chama Cha Mapinduzi muingilie kati hili suala hili ukwl wa zabuni hii ufahamike au wafanyabiashara wapewe elimu Kama Kuna ukarabati unataka kufanyika kumpisha mwekezaji ambae atamiliki majengo hayo kwa miaka 5 kama uongozi wa soko unavyosema ,na Kama rushwa imetumika ifatiliwe kwa umakini ,mpaka hatua za kumpata huyo mwekezaji mpya wa soko.
Maana wafanyabiashara wa hili eneo tokea ule mkutano wa Lissu wanasema kuwa soko la ccm Katoro limeuzwa kwa mtu na wao kukosa nafasi ya kuendelea kufanya kazi eneo ,na hvo kumilikiwa na mtu mmoja ambae akimaliza ujenz ataamua kodi yake iwe kiasi gani?
Hivyo wanahusishwa kuwa soko la ccm limeuzwa Kama ambavyo bandari inadaiwa kuuzwa na hvo kuwanyima fursa wafanyabiashara wadogo takribani 1,000 eneo la kufanyia kazi ,na hvo wanaenda kupoteza maeneo ya kufanyia kazi na pia utakuwa mwanzo wa kuua mitaji yao.
Nimepata kushuhudia baadhi ya viongozi wa Ccm wenyewe wakipita kwa wafanyabiashara kuhamasisha kugomea zoez hili wakidai kuwa wakubwa wao wamepokea rushwa kubwa kutoka kwa mwekezaji ambaye amepewa soko hilo kuliboresha bila hata ya kumshindanisha na mtu yoyote ,hata mabango waliyoweka ya kutafuta mwekezaji wanadai yaliwekwa ikiwa tayari mwekezaji huyo ashapatikana hvo walibandika tangazo hilo kama njia ya kuwazuga wafanyabiashara, pia walihakikisha wanaweka kiwango kikubwa kwa mfanyabiashara ambae atataka kuboresha chumba chake kiasi Cha kutoa ni ,5M ,wakati wafanyabiashara hao asilimia 98 ,mitaji yao haifiki milion tano ,hivyo Chama Cha Mapinduzi kwa kushirikiana na vyombo husika ,tunaomba mhakikishe mnatatua hili tatizo.
Na jana mwenyekiti wa hilo soko alianza kuwahamasisha machinga watoke ndani ya eneo hilo ,akijua wao ndo wana nguvu sana na kuwapeleka kuwatelekeza kwa nje ambapo ndo fremu mpya zinajengwa na hvo zikiisha wanakuwa hawana pa kwenda maana wanakuwa wamekaa mbele ya fremu za mwekezaji mpya ,hivyo akiwini kuwapa machinga eneo hilo anaamini wafanyabiashara wengine itakuwa rahisi kuwaondosha bila kujali lolote(divide and rule) ,na hvo dili lao kukamilika.
Naomba kuwasilisha .
Asanteni.
Pia kwa upande mwingine wanashangaa kwanini notisi ya kutoka eneo hilo imetolewa kwa muda mfupi sana kinyume na Sheria ,hivo kuonekana kuna harufu ya rushwa na baadhi ya viongozi wa chama wamekuwa wakiwaambia wafanyabiashara kutotii agizo hili, wakidai kwamba baadhi ya viongozi wa chama ,wamepokea rushwa ili zoezi ili likamilike bila wao kuhusishwa na hawajui lolote lilitokea
Hata diwani mmoja wa eneo hili alipoulizwa na wafanyabiashara amesema kuwa huu ni mradi wa watu wameshapiga hela
Kwahyo Chama Cha Mapinduzi muingilie kati hili suala hili ukwl wa zabuni hii ufahamike au wafanyabiashara wapewe elimu Kama Kuna ukarabati unataka kufanyika kumpisha mwekezaji ambae atamiliki majengo hayo kwa miaka 5 kama uongozi wa soko unavyosema ,na Kama rushwa imetumika ifatiliwe kwa umakini ,mpaka hatua za kumpata huyo mwekezaji mpya wa soko.
Maana wafanyabiashara wa hili eneo tokea ule mkutano wa Lissu wanasema kuwa soko la ccm Katoro limeuzwa kwa mtu na wao kukosa nafasi ya kuendelea kufanya kazi eneo ,na hvo kumilikiwa na mtu mmoja ambae akimaliza ujenz ataamua kodi yake iwe kiasi gani?
Hivyo wanahusishwa kuwa soko la ccm limeuzwa Kama ambavyo bandari inadaiwa kuuzwa na hvo kuwanyima fursa wafanyabiashara wadogo takribani 1,000 eneo la kufanyia kazi ,na hvo wanaenda kupoteza maeneo ya kufanyia kazi na pia utakuwa mwanzo wa kuua mitaji yao.
Nimepata kushuhudia baadhi ya viongozi wa Ccm wenyewe wakipita kwa wafanyabiashara kuhamasisha kugomea zoez hili wakidai kuwa wakubwa wao wamepokea rushwa kubwa kutoka kwa mwekezaji ambaye amepewa soko hilo kuliboresha bila hata ya kumshindanisha na mtu yoyote ,hata mabango waliyoweka ya kutafuta mwekezaji wanadai yaliwekwa ikiwa tayari mwekezaji huyo ashapatikana hvo walibandika tangazo hilo kama njia ya kuwazuga wafanyabiashara, pia walihakikisha wanaweka kiwango kikubwa kwa mfanyabiashara ambae atataka kuboresha chumba chake kiasi Cha kutoa ni ,5M ,wakati wafanyabiashara hao asilimia 98 ,mitaji yao haifiki milion tano ,hivyo Chama Cha Mapinduzi kwa kushirikiana na vyombo husika ,tunaomba mhakikishe mnatatua hili tatizo.
Na jana mwenyekiti wa hilo soko alianza kuwahamasisha machinga watoke ndani ya eneo hilo ,akijua wao ndo wana nguvu sana na kuwapeleka kuwatelekeza kwa nje ambapo ndo fremu mpya zinajengwa na hvo zikiisha wanakuwa hawana pa kwenda maana wanakuwa wamekaa mbele ya fremu za mwekezaji mpya ,hivyo akiwini kuwapa machinga eneo hilo anaamini wafanyabiashara wengine itakuwa rahisi kuwaondosha bila kujali lolote(divide and rule) ,na hvo dili lao kukamilika.
Naomba kuwasilisha .
Asanteni.

