Soko la architecture degree

Usimdanganye wewe
Mkuu ushirombo huwa Nina ndoto ya kuonana na wewe siku moja live ili niweze pata madini yako yakiwa mabichi kabisa. Ila najipa moyo tu siku moja nitakuona ,cha msingi uzima na as long as tuko kwenye industry moja.
 
Kwanza asahau kitu kinachoitwa ajira, asome business administration(in information technology),au asome programming languages.,hata achukue marketing.Akishamaliza ajiajiri.
 

kuna watu wapo vizuri sana GPA kali lakini kozi zao haziwabebi sokoni
 
Kwa PCM : WAP na wap
Biomedical ni engineering mkuu iko Arusha tech tu kwa degree na DIT kwa diploma, Ya DIT ni Biomedical Equipments engineering where as ya Arusha technical college ni Electrical and Biomedical engineering na Products zake ni wahandisi Kabisa
 
Biomedical ni engineering mkuu iko Arusha tech tu kwa degree na DIT kwa diploma, Ya DIT ni Biomedical Equipments engineering where as ya Arusha technical college ni Electrical and Biomedical engineering na Products zake ni wahandisi Kabisa
Ohoo.
 
Safi umemuuleza ukweli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…