FezzyJoe Senior Member Jun 2, 2017 115 45 Dec 1, 2021 #1 Waungwana naomba kufahamu upana wa nafasi za ajira kwa aliyesoma course ya geography and environment studies kwa Tanzania na Africa mashariki.
Waungwana naomba kufahamu upana wa nafasi za ajira kwa aliyesoma course ya geography and environment studies kwa Tanzania na Africa mashariki.
L Lizlina Member Jun 25, 2021 43 38 Dec 1, 2021 #2 Mara nyingi naona hawa wanafanya kazi za health and safety
D DASM JF-Expert Member Mar 26, 2017 2,360 2,863 Dec 1, 2021 #3 FezzyJoe said: Waungwana naomba kufahamu upana wa nafasi za ajira kwa aliyesoma course ya geography and environment studies kwa Tanzania na Africa mashariki. Click to expand... Mdogo wangu kugraduate 2013 Ajira haipo kabisa
FezzyJoe said: Waungwana naomba kufahamu upana wa nafasi za ajira kwa aliyesoma course ya geography and environment studies kwa Tanzania na Africa mashariki. Click to expand... Mdogo wangu kugraduate 2013 Ajira haipo kabisa
L Lizlina Member Jun 25, 2021 43 38 Dec 1, 2021 #4 DASM said: Mdogo wangu kugraduate 2013 Ajira haipo kabisa Click to expand... Hajajichanganya, anaweza jisajiri NEMC akawa anafanya kazi binafsi za EIA, audt n.k, ni una hela usipobweteka Na safety ndo kazi zai kwenye miradi
DASM said: Mdogo wangu kugraduate 2013 Ajira haipo kabisa Click to expand... Hajajichanganya, anaweza jisajiri NEMC akawa anafanya kazi binafsi za EIA, audt n.k, ni una hela usipobweteka Na safety ndo kazi zai kwenye miradi
G Ghost Worker JF-Expert Member Apr 20, 2016 1,412 1,862 Dec 1, 2021 #5 FezzyJoe said: Waungwana naomba kufahamu upana wa nafasi za ajira kwa aliyesoma course ya geography and environment studies kwa Tanzania na Africa mashariki. Click to expand... HAKUNA AJIRA. Na unapotaka kwenda chuo kikuu nenda na kiu ya kupata elimu ya ndoto zako tu sio matumaini ya kuajiriwa ukimaliza shahada. Jiandae kwa yote.
FezzyJoe said: Waungwana naomba kufahamu upana wa nafasi za ajira kwa aliyesoma course ya geography and environment studies kwa Tanzania na Africa mashariki. Click to expand... HAKUNA AJIRA. Na unapotaka kwenda chuo kikuu nenda na kiu ya kupata elimu ya ndoto zako tu sio matumaini ya kuajiriwa ukimaliza shahada. Jiandae kwa yote.