Wadau nauza kuku wa kienyeji na bata jumla na rejareja, natafuta soko la kuuza kwa jumla dar es salaam. Naomba mnisaidie wadau anayejua anipm. Natanguliza shukrani zangu.
Kamilisha tangazo lako kwa namba ya simu na bei kuendana na ukubwa wa kuku au achana na mambo ya mtu akupm haswa kwenye biashara ambayo unataka upate wateja
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.