kapikita
Senior Member
- Jun 8, 2014
- 131
- 74
soko kubwa la Mandela lililopo mjin sumbawanga limeteketea kabisa kwa moto ambao bado chanzo chake hakijajulikana,, vibaka na wezi wametumia muanya huo kuvunja maduka yalokua bado hayajaungua na kupora kila kituView attachment 426351View attachment 426352