Soka bongo bado sana.......4-2 nyumbani

Soka limepiga hatua kiasi chake ila vilabu vya Tanzania havijui kulea wachezaji kisoka, wachezaji wanatakiwa wakae kambini kama wanajeshi nawapangiwe hata ratiba ya vyakula Samata na ulimwengu wako klabu kizuri.Tuombe Mungu Kapombe,Sureboy,Domayo,Kazimoto,Yondani Kiemba na wengine wapate vilabu bora vinavyojua kulea vipaji nje ya nchi hapo ndiyo tutafanikiwa.Si unaona vilabu vya bongo vilivyoua vipaji vya wanasoka kama Ngasa, Bobani,Tegete,etc.

Tukipata wachezaji zaidi ya 11 wakichezea vilabu kama TP Mazembe kombe la dunia tutashiriki bila ubishi
 
namba 1 in fifa rank with number 109 in fifa rank ivorian are finalist for the several time
 
Mabeki awako makini kabisa,watu wanajituma kule mbele, halafu beki zinaruhusu mabao mepesi,hapa mpka tupate wakina samata,ulimwengu wengi ndio tutafika mbali.
ni kweli kabisa haiwezekani mbele tunabana halafu nyuma wanaachia kirahisi
 
Mabeki awako makini kabisa,watu wanajituma kule mbele, halafu beki zinaruhusu mabao mepesi,hapa mpka tupate wakina samata,ulimwengu wengi ndio tutafika mbali.

Tukisema wakina NGASSA waende nje ya nchi kucheza soka la kulipwa watu wanakua wakali kisa eti anaenda YANGA. Professional football inasaidia.
 
Back
Top Bottom