Software ipi ya kueditia Audio

Software ipi ya kueditia Audio

1954tanu

JF-Expert Member
Joined
Jul 19, 2013
Posts
1,038
Reaction score
487
Je, ni software gani ya ku-edit audio, yaani uweze kuondoa voice ubaki na instrument pekee,uweze ku-mute instrument fulani.uingize nyingine.Mfano,uweze kuubadilisha muziki fulani uwe tofauti na ule orignal.
 
AUDACITY! Hua naitumia kurekebishia audio kabla cjaziweka in animations or videos! Ni bure kabsa afu extremely wonderful!
 
hii haifanyi kazi ambao mtoa mada amemaanisha.

oh afu nlikua sijasoma swali zima la mtoa mada. Kutoa voice na kubak na instrument ni ki2 nxt 2 impossible, ila hio software ni safi. AUDACITY inaweza kupunguza vocals 2 some extent, pia inapunguza other noises kwenye audio ukipenda. So bado nai recommend
 
Nope! Mtafute original Produce akupe Project files.
Unaweza ku diminish some frequencies using some DSP ktk Digital Audio Workstations lakini kuondoa hauwezi.
DAW Fruity Loops Studio, Sonar Cakewalk, Cubase, Logic et al
 
Ah another msanii mwingine wa bongo fleva (underground) anatafuta namna ya kutoka kwa kutumia kazi za wanamuziki wa kweli.
 
inapatikana torrents lakini mpaka uwe na torrent download ingia Google kisha type torrent download itaidauload hiyo download zipo nyingi kama bitloard utorrent kisha itatumua hiyo download kudownload audiocity ni simple sana jaribu sasa
 
tafuta ADOBE AUDITION kila effect ipo humo ingia www.kat.ph then search io adobe audition utaipata ambayo ipo cracked
 
ipo kwa windows pia
running on windows
AUDACITY.png
 
Mwaka 2004 kuna jamaa alikuwa akicheza music kwenye pc, muda meingine alikuwa ana mute voice anabaki na instruments tu.
Sijajua alikuwa anatumia software gani.

mi mwenyewe nahtaj kuifaham software yenye uwezo huo
 
Back
Top Bottom