Daah kwa yoyote anae tumia smartphone naomba anijuze jina la software inayo tumika kupigia pic kurasa zako ndani ya cm yako!
unatumia simu gani?? Kama ni Huawei au Techno nenda kwenye kurasa unayotaka kuipga pcha halafu bonyeza Off botton na botton ya kupunguzia volume zote kwa pamoja.
Hata kwa simu nyingine unaweza kufanya hivyo ila sina uzoefu sana.
Kama kuna shortcut nyingine wajuzi watakupa more info.
unatumia simu gani?? Kama ni Huawei au Techno nenda kwenye kurasa unayotaka kuipga pcha halafu bonyeza Off botton na botton ya kupunguzia volume zote kwa pamoja.
Hata kwa simu nyingine unaweza kufanya hivyo ila sina uzoefu sana.
Kama kuna shortcut nyingine wajuzi watakupa more info.
Huwezi kufanya screenshot bila ku-root simu so kama unataka kufanya hiyo kitu make sure kwanza cm yako ipo rooted then fanya kama ilivyoelekezwa hapo juu.
sio kweli