Amani 2015
Member
- Dec 28, 2014
- 82
- 14
....Nauza Sofa set za reather (Brown) ziko katika hali nzuri sana (Excellent condition). Makochi madogo mawili (2) na kubwa la watatu (1). Bei ni laki tano (500,000). Picha zinagoma kudownload.
Mnaweza kunicheck kwenye Number yangu 0713 590 607. Nikakutumia Picha via Whatsup. Asanteni!
mkuu nitumie picha hizo nikuwekee
Zipo maeneo gani ili tuone issue ya logistic; weka picha pia ili tuone kiwango; I am interested lakini nizione picha na umbali zilipo..ok?
....Nitumie namba yako.. Nikutumie uziweke mzee
... Nimeshakutumia mkuu....nimekutumia In box
sofa zenyewe hizi hapa....Nauza Sofa set za reather (Brown) ziko katika hali nzuri sana (Excellent condition). Makochi madogo mawili (2) na kubwa la watatu (1). Bei ni laki tano (500,000). Picha zinagoma kudownload.
Mnaweza kunicheck kwenye Number yangu 0713 590 607. Nikakutumia Picha via Whatsup. Asanteni!
= leather
= ku upload
Bado mkuu,Umepata mteja?
...Kuna mdau keshazitupia jukwaani mkuu... Siunafahamu jamiiforums hakuna kinachoharibika...AsanteZinagoma?
Nauza Sofa set za leather (Brown) ziko katika hali nzuri sana (Excellent condition). Makochi madogo mawili (2) na kubwa la watatu (1). Bei ni laki tano (500,000). Picha zinagoma ku'upload.
Mnaweza kunicheck kwenye Number yangu 0713 590 607.
Nikakutumia Picha via Whatsup.
Asanteni
[/Q
umepata mteja?