Habari za kazi wakubwa,
Mpangaji wangu amepata transfer ya ghafla kurudi nchini kwao hivyo ameniachia furniture zake zikiwepo sofa hizo hapo chini kwenye picha nimuuzie.
Bei ya kuuza ni Milioni 2.8
Kama unahitaji details zaidi au uko interested please ni PM
Shukran