ISLETS
JF-Expert Member
- Dec 29, 2012
- 8,121
- 5,332
Mimi nikajua shida kuuubwa kumbe hako tu. Kifupi background yako haijaathiri chochote kwenye hiyo hali, hivyo usisingizie aina ya malezi uliyopata. Kama hakuna mtu mmoja wa kukusaidia, basi angalia yanayowezekana hapa.
- Jiunge na jeshi/mgambo, lengo ni mazoezi kuweka akili active maana wewe peke yako umeshindwa. Au vipi weka ratiba ya mazoezi asubuhi na jioni, au jiunge na kikundi cha mazoezi ya aerobics chochote.
- Tafuta mwanamke, bila shaka hata kutongoza huwezi ila jitoe tu ufahamu hata upate rafiki wa kike. Wanawake ni dawa nzuri ya akili ya mwanaume, Mungu aliliona hilo ndio maana akasema Adam asiishi peke yake ampatie msaidizi wa kufanana naye. Hata tusio na wanawake, ile kuongea tu au kuchat na good girl friends mkacheka huwa inaleta hali fulani nzuri kwenye mind.
- Usiisahau nafasi ya Bwana Mungu wako.
- Kula vizuri, kula mlo kamili. Ingia hata google tafuta vyakula vyenye Vitamin B6 nyingi na Magnesium nyingi, uhakikishe havikosekani mezani.
- Tafuta hobby yako ni nini, jaribu kuangalia mpira hata vibanda umiza, jaribu movies, jaribu music, kote huko uone kipi kitakutuliza akili.
NB: Kuwa mwanaume bob, jikubali. Jione hakuna mwingine kama wewe.
Sent using Jamii Forums mobile app
- Jiunge na jeshi/mgambo, lengo ni mazoezi kuweka akili active maana wewe peke yako umeshindwa. Au vipi weka ratiba ya mazoezi asubuhi na jioni, au jiunge na kikundi cha mazoezi ya aerobics chochote.
- Tafuta mwanamke, bila shaka hata kutongoza huwezi ila jitoe tu ufahamu hata upate rafiki wa kike. Wanawake ni dawa nzuri ya akili ya mwanaume, Mungu aliliona hilo ndio maana akasema Adam asiishi peke yake ampatie msaidizi wa kufanana naye. Hata tusio na wanawake, ile kuongea tu au kuchat na good girl friends mkacheka huwa inaleta hali fulani nzuri kwenye mind.
- Usiisahau nafasi ya Bwana Mungu wako.
- Kula vizuri, kula mlo kamili. Ingia hata google tafuta vyakula vyenye Vitamin B6 nyingi na Magnesium nyingi, uhakikishe havikosekani mezani.
- Tafuta hobby yako ni nini, jaribu kuangalia mpira hata vibanda umiza, jaribu movies, jaribu music, kote huko uone kipi kitakutuliza akili.
NB: Kuwa mwanaume bob, jikubali. Jione hakuna mwingine kama wewe.
Sent using Jamii Forums mobile app