fiksiman
JF-Expert Member
- May 17, 2008
- 402
- 104
kuna mtu bwana kagongwa na gari kisa alikuwa akijibu comments kwenye facebook mobile...jamaa alikuwa busy nasimu huku akiwa pembeni mwa barabara ghafla akaacha njia akaanza kuelekea ndani ya barabara macho na akili kwenye simu....sema jamaa hakumgonga kwa nguvu alimsukuma tu kwani alishamuona.