so so so saaaaaaaaaaad!

Unaogopa nini sasa kwani na wewe unauza madawa sasa unajiuliza zikifika 40 zako itakuwaje? Hebu jenga hoja hofu yako inatoka wapi?
nimeogopa koz wamewatreat kama terrorist yani na majibwa kibao yani full ugwadu na mijibwa ilikua inaingia kila room kucheck ni ni mikubwa saizi ya ndama iyo ndio iliyonitisha mm mana mm muoga hata wa kinyonga
 
make money fast, umenikumbusha jinsi nilivyoponea chupu chupu kuwa drug dealer, the worst business.
 
nimeogopa koz wamewatreat kama terrorist yani na majibwa kibao yani full ugwadu na mijibwa ilikua inaingia kila room kucheck ni ni mikubwa saizi ya ndama iyo ndio iliyonitisha mm mana mm muoga hata wa kinyonga
Sema tu ndiyo mara yako ya kwanza kukutana na hali kama hiyo lakini mimi naona all in all wana derseve kukamatwa kama mbwa vile, halafu watu wanao deal na drugs wana mtandao mkubwa sana hivyo hata ukamataji wake inabidi polisi ijipange ili kukabiliana na chochote kinachoweza kutokea.
 
Ingekuwa bongo hao ndo wangekuwa washikaji wa polisi wa kuwatafutia mademu.
Duuuuh nilikuwa sijui kuwa kumbe ukiwa mshikaji na polisi basi wana mademu zao ambao wanaweza kukutafafutia na wasiweze kukataa! Mbona raha kama unaupenda ufisi maji basi ni kuwa karibu na askari polisi.
 
yani hapaaa naandika ndio kama dk 45 zimepita toka kasheshe la mhaiti mmoja na mnigeria kukamatwa na mapolisi bada ya kukamatwa na bangi na madawa ya kulevia ktk room wanayolala ambayo iko ktk flour yangu mm ninakoishi loh! wanaenda kula 14 years bila pingamizi yani na mmoja alibakiza miezi 9 achukue master yake asepe loh! yani mlangoni kwao waliandika dont mess with mother cobra lkn cku zote tunajua ni maneno tuu mana hata cc mlangoni kwetu tumeandika slogan yetu kumbe loh!
View attachment 39700
sorry taking it personal.... why sympathise with drug dealers?
 
Sema tu ndiyo mara yako ya kwanza kukutana na hali kama hiyo lakini mimi naona all in all wana derseve kukamatwa kama mbwa vile, halafu watu wanao deal na drugs wana mtandao mkubwa sana hivyo hata ukamataji wake inabidi polisi ijipange ili kukabiliana na chochote kinachoweza kutokea.
yes uko sawa kabisa
 
Back
Top Bottom