AMINATA 9
JF-Expert Member
- Aug 6, 2011
- 2,120
- 641
- Thread starter
- #21
nimeogopa koz wamewatreat kama terrorist yani na majibwa kibao yani full ugwadu na mijibwa ilikua inaingia kila room kucheck ni ni mikubwa saizi ya ndama iyo ndio iliyonitisha mm mana mm muoga hata wa kinyongaUnaogopa nini sasa kwani na wewe unauza madawa sasa unajiuliza zikifika 40 zako itakuwaje? Hebu jenga hoja hofu yako inatoka wapi?