Mange Kimambi ni mtu na nusu. Yaani Serikali haramu inaona bora kufungia Facebook, WhatsApp na Instagram kuliko Mange kuongea humo.
Mtu mwembamba yule mwenye kilo 45 anawanyima usingizi viongozi haramu.
Mange Kimambi historia ya ukombozi haitakusahau kamwe.