SMS kutoka kwa mke wa mtu

SMS kutoka kwa mke wa mtu

iMind

JF-Expert Member
Joined
Mar 27, 2011
Posts
3,157
Reaction score
5,267
Umri wa ndoa:12

'Yaani nakumisi sana. Vitu unavyonipa kwangu sivipati. Napenda unavyonifanya. Yaaani wewe mtoto, utundu huo nani alikufundisha? Nakupenda sana tena sanaaaaa"

Ushauri:
Wanaume tujifunze mbinu za kuwafurahisha wake zetu. Tuwe romantic and creative. Otherwise michepuko haitaisha. Tuache ubabe na ikibidi tafuta cd za kamasutra ujifunze. Unafika unaingiza tu dk 2 umemaliza unageuka unapiga usingizi. Trust me Lazima uchapiwe tu
 
Nahisi kama roho ya mauti inakuita, kama unajipenda keep your distance away na mke wa mtu.
 
'Yaani nakumisi sana. Vitu unavyonipa kwangu sivipati. Napenda unavyonifanya. Yaaani wewe mtoto, utundu huo nani alikufundisha?

Ngoja mumewe akushike alafu huo utundu unaompa mkewe na yeye umuoneshe akusifie. Wew si mtaalam
 
mume wa mtu maziwa... mke wa mtu ni sumu aya sasa jiongeze mkuu
 
wahisi bila kukusifia atakupata tena? Yawezekana mumewe anapiga mzigo zaid yako wewe sema tu anataka kukuponza
 
Unawawezea sana wake za watu. Hongera sana.

Hakuna kitu mtu afanyacho chini ya jua ambacho hakina malipo... Karma is really a bi.t.ch asemavyo lara 1
Gharama ya kutembea na mke wa mtu ni ngumu sana kuibeka... Tafadhali acha huo uji.nga
Umri wa ndoa:12

'Yaani nakumisi sana. Vitu unavyonipa kwangu sivipati. Napenda unavyonifanya. Yaaani wewe mtoto, utundu huo nani alikufundisha? Nakupenda sana tena sanaaaaa"

Ushauri:
Wanaume tujifunze mbinu za kuwafurahisha wake zetu. Tuwe romantic and creative. Otherwise michepuko haitaisha. Tuache ubabe na ikibidi tafuta cd za kamasutra ujifunze. Unafika unaingiza tu dk 2 umemaliza unageuka unapiga usingizi. Trust me Lazima uchapiwe tu
 
Last edited by a moderator:
Usijisifie ujinga, apandacho mtu ndicho atakachovuna.
 
Changamkia fursa mtoto wa kiume! Si umeona misifa hiyo uliyomwagiwa lakini,.
 
utakuja tu kuomba dawa baada ya kuguswa 0713, na mikono watakata very soon
 
watu wangu wanapotea kwa kukosa maarifa ya kujamiiana...
 
Subiri sms nyingine akikushauri kuanza kutumia ARV muda ukifika.....
 
Umri wa ndoa:12

'Yaani nakumisi sana. Vitu unavyonipa kwangu sivipati. Napenda unavyonifanya. Yaaani wewe mtoto, utundu huo nani alikufundisha? Nakupenda sana tena sanaaaaa"

Ushauri:
Wanaume tujifunze mbinu za kuwafurahisha wake zetu. Tuwe romantic and creative. Otherwise michepuko haitaisha. Tuache ubabe na ikibidi tafuta cd za kamasutra ujifunze. Unafika unaingiza tu dk 2 umemaliza unageuka unapiga usingizi. Trust me Lazima uchapiwe tu

Wizi mtupu tuuuuu wanaokamuliwa fresh hawasemagi siri moyoni
 
Unawawezea sana wake za watu. Hongera sana.

Hakuna kitu mtu afanyacho chini ya jua ambacho hakina malipo... Karma is really a bi.t.ch asemavyo lara 1
Gharama ya kutembea na mke wa mtu ni ngumu sana kuibeka... Tafadhali acha huo uji.nga
JF kila mtu ameokoka. Mimi nimeleta ujumbe, sikusema nimetumiwa mimi. After all mimi siyo mtoto. Cha msingi fuata ushauri otherwise itakula kwako.
 
Last edited by a moderator:
Noted with thanks Mkuu.

Bora nikuombe msaada unisaidie kujua hili neno ''Kuokoka'' nimekuwa nalisikia sana kaka, huwa hilo neno linataka kumaanisha nini mkuu? mtu ameokoka na nini labda? Na ili na mtu batili kama mimi nawezaje kuokoka labda? Asante.

JF kila mtu ameokoka. Mimi nimeleta ujumbe, sikusema nimetumiwa mimi. After all mimi siyo mtoto. Cha msingi fuata ushauri otherwise itakula kwako.
 
Back
Top Bottom