SMS kutoka kwa mke wa mtu

SMS kutoka kwa mke wa mtu

achaa u...f..----
mke wa mtu unajisifia???tafuta wako
 
Ngoja uje ufumuliwe marinda ndio utajuta
 
JF kila mtu ameokoka. Mimi nimeleta ujumbe, sikusema nimetumiwa mimi. After all mimi siyo mtoto. Cha msingi fuata ushauri otherwise itakula kwako.
Umeona watu wanavyopenda kukurupuka ee?
Ujumbe wako ni muruah!! Sema wengine wapo watu necha yao ni kupenda kuponda bila kutafakari kwanza.
Na kwa angalizo tu naomba wakikusumbua zaidi waambie warejee ujumbe wa siginecha yangu kama inavyoonekana hakika itawasaidia.
 
Noted with thanks Mkuu.

Bora nikuombe msaada unisaidie kujua hili neno ''Kuokoka'' nimekuwa nalisikia sana kaka, huwa hilo neno linataka kumaanisha nini mkuu? mtu ameokoka na nini labda? Na ili na mtu batili kama mimi nawezaje kuokoka labda? Asante.
Palipo kolezwa panahusika,
Nachelea kusema 'mtaboa' watu kama mtaruhusu tuijadili hoja hiyo katika uzi huu na jamvi hili.
 
Siwezi hata siku moja kupoteza muda wangu kumuangalia mwanaume mwenzangu kwa luninga akiwa anapiga pedeli
 
Kuna mtu kaandika post watu wote wa MMU hakuna kugusa mbinguni hahhaaaaha
 
Kuna mtu kaandika post watu wote wa MMU hakuna kugusa mbinguni hahhaaaaha

Umesikia mkuu waafrika tunapenda kuishi kwa kuficha maisha yetu sasa humu watu wanaoonesha uhalisia wao live.Lile ----- lishazoea kuficha ficha vitu na linashangaa watu wanavyojiachia na linajipa cheo la umalaika.
 
mmmh shuhuli haya tutaona huko mbeleni kutakuaje
 
Back
Top Bottom