masopakyindi
Platinum Member
- Jul 5, 2011
- 18,410
- 14,119
Yamekukuta?Zinapunguza wateja mahotelini kwenye mabaa kwa kuwa mtu afikapo anakaa tuu anaanza kuchati mara Whatsapp,kisha Facebook, alafu instagram, anamalizia na Jamiiforums ndo unasikia niletee mchemsho, akimaliza kula anaanza tena kuchati weee,
Inaudhi sana hata kwenye usafiri mtu hakuna hata kubadilishana habari au maongezi jitu linakaa linaanza na kuchati tuu, tena zaleta ajali pia kuweni makini.
mambo ya kulala safarini kuna mzee nilikaa nae siti moja alitoa ushuzi wa hatari hadi siti za jirani wakasikia, ilikua kisanga kwenye basi watu wanataka kucheka ushuzi unanuka wanabaki kugugumia tumboni.
kwenye familia ndo shida baada ya kaz nyumbani baba yuko bize na smatphon mama ndo hashkiki anasahau hata kupika!!mwe mwe mweh!
ni shida new world order mkiabiwa sasa hivi kila goti litpigwa kwa shetan mnabisha...! taratibu hapa wajinga ndiyo waliwao ata ufanisi wa kazi maofisini umepungua hakuna concetration ya kazi. kazi zina a lot of errors.
Kama hapo unavyochat wewe