Smartphone sasa balaa

WELCOME TO THE
📍 21ST CENTURY!!! 📍
*Our Phones ~ 📲 Wireless

*Cooking ~ 📛 Fireless

🚗 *Cars ~ 🔑Keyless

🍔 Food ~ 🍝 Fatless

🚇 Tyres ~ ⚪ Tubeless

*Dress ~ 👗 Sleeveless

👬👬👫 Youth ~ 📝 Jobless

*Leaders ~ 👎 Shameless

Relationships 👥Meaningless

*Attitude ~ 👤 Careless

💘 Feelings ~ 💔 Heartless

📖 Education ~ ✖ Valueless

📲 Mobile comes
📷 Camera gone

📲 Mobile comes
⏰ Wrist Watch gone

📲 Mobile comes
🔦 Torch gone

📲 Mobile comes
📻 Radio gone

📲 Mobile comes
🔊 MP3 gone

📲 Mobile comes
📝 Letters gone

📲 Mobile comes
📟 Calculator gone

📲Mobile comes
💻 Computer gone

📲 Mobile comes
🙇 Peace of mind gone

.....🎩
@ 👀👂
( 👃 )
\ 👅 /
✋🎽c👍
👖 by
/ \
👞👞

People getting mental 😔
&
Phones getting Smart
 
Smartfon ilinisaidia sana kutafuna mabebeez watamu, enzi hizo hazijawa yebo yebo...

Saivi habari ya mjini ni liverossa tu...

upgrade kijana bado uko kwenye verossa!
 
Alisemaga Albert Einstein itafika wakati technology itapunguza human interaction
 
hahahahhhhhaaaaaaaa kumbe unaye nilidhani :A S-eek::A S-eek:
 
Mmekutana out mbadilishane mawazo, yeye Ana chat. Nakucheka peke yake! Ukimsemesha anaona kama unamkata stimu.
 

aisee kweli kabisa
yaani hapa kuna mtu ananiambia "mama j kwa simu "
 

Na hawa nao tunawaweka kundi lipi?
 

Attachments

  • 1408694201508.jpg
    57 KB · Views: 240

Labda kwa mtu ambaye hajui nini maana ya kutafuta chapaa,mimi natumia smartphone kusaka chapaa,chat kwa ajili ya ngawira and not otherwise,
 
ni kweli kabisa social network imekua ant social mana skuiz mkiwa zaidi ya wawili ni shiiida utakuta no stories kila mtu na lismartphone lake.
 

Nlishawahi kuitupa simu ya mpenzi wangu dirishani kwa ujinga kama huu
 

We unasema baa... Nyumbani nako hivo hivo.. Kuanzia mama hadi watoto.. Siku hizi home MA-FLAT SCREENS hayana kazi....

Sasa mtu anayetoka kwenye familia ya aina hiyo, ndo anakuwa mlalamikaji sana kwamba huyu anaongea sana yule anaongea sana... kumbe yeye ndo yupo kimya sana kwa sababu ya ma IPAD, IPOD, magalaksi, au makorokocho ya aina hiyo
 
Nadhani ni mind set tu ya mtu on the use of smartphone.

Nashukuru Mungu naweza kujicontrol
 
hahahaha utakuta mtu anakula mpo nae, ye anamkaribisha mtu wa mbali kwa watsap et "karibu tule beby" , beby mwenyewe yupo dar nyie mliokuanae tanga, tena meza moja mnabaki kutoleana mimacho tu....

Sipendagi aiseee
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…