Boniphace Bembele Ng'wita
JF-Expert Member
- Dec 25, 2013
- 3,562
- 1,969
Smartfon ilinisaidia sana kutafuna mabebeez watamu, enzi hizo hazijawa yebo yebo...
Saivi habari ya mjini ni liverossa tu...
Kuna ukweli, hizi smartphone zimepunguza sana one-on-one interaction. Ukienda sehem unaweza kukaa pekeyo hamna wa kuongea nae coz everyone's busy with their phones. Wakati mwingine umekaa na mwenza wako, ukitegemea muongee constructive issues yeye ni busy na sim.
Ckuiz kila mtu Full time kuchart mpaka maofisini,tena zinamaliza Vocha ni kwamba hatugundui unaeza kujikuta kwa mwezi unatumia hela nyingi kuweka vifurushi. All at all zitumike constructively kama kuperuzi habari muhimu, kutafuta fursa mbalimbali kama ajira kuliko kutumia kwa mambo yasiyo ya msingi muda wote!
Zinapunguza wateja mahotelini kwenye mabaa kwa kuwa mtu afikapo anakaa tuu anaanza kuchati mara Whatsapp,kisha Facebook, alafu instagram, anamalizia na Jamiiforums ndo unasikia niletee mchemsho, akimaliza kula anaanza tena kuchati weee,
Inaudhi sana hata kwenye usafiri mtu hakuna hata kubadilishana habari au maongezi jitu linakaa linaanza na kuchati tuu, tena zaleta ajali pia kuweni makini.
Zinapunguza wateja mahotelini kwenye mabaa kwa kuwa mtu afikapo anakaa tuu anaanza kuchati mara Whatsapp,kisha Facebook, alafu instagram, anamalizia na Jamiiforums ndo unasikia niletee mchemsho, akimaliza kula anaanza tena kuchati weee,
Inaudhi sana hata kwenye usafiri mtu hakuna hata kubadilishana habari au maongezi jitu linakaa linaanza na kuchati tuu, tena zaleta ajali pia kuweni makini.
Bestito, si ungekuja faragha tukaongea jamani...hahahahhhhhaaaaaaaa kumbe unaye nilidhani :A S-eek::A S-eek:
Kuna ukweli, hizi smartphone zimepunguza sana one-on-one interaction. Ukienda sehem unaweza kukaa pekeyo hamna wa kuongea nae coz everyone's busy with their phones. Wakati mwingine umekaa na mwenza wako, ukitegemea muongee constructive issues yeye ni busy na sim.
Mwee wengine hatupendagi mastory na MTU kwe gari salaam baas nipo bize na sim yangu safari yenye unaona fupi !!
Zinapunguza wateja mahotelini kwenye mabaa kwa kuwa mtu afikapo anakaa tuu anaanza kuchati mara Whatsapp,kisha Facebook, alafu instagram, anamalizia na Jamiiforums ndo unasikia niletee mchemsho, akimaliza kula anaanza tena kuchati weee,
Inaudhi sana hata kwenye usafiri mtu hakuna hata kubadilishana habari au maongezi jitu linakaa linaanza na kuchati tuu, tena zaleta ajali pia kuweni makini.
Wakati hazipo ulikuwa unafanyaje?
Zinatusaidia sana sisi ambao hatuhitaji peche mingi.
hahahaha utakuta mtu anakula mpo nae, ye anamkaribisha mtu wa mbali kwa watsap et "karibu tule beby" , beby mwenyewe yupo dar nyie mliokuanae tanga, tena meza moja mnabaki kutoleana mimacho tu....
Mmmh peche ndo vinini