Nataka kumnunulia girlfriend wangu simu, lakin sijui nimnunulie simu gani ya smartphone inayo kaa na chaji angalau siku 2, na yenye gharama isiyozidi Tsh 125,000?
Au simu gani nyingine yenye hadhi kidogo isiyozidi hiyo bei?
Girlfriend anatakiwa awe na simu hata ya kukuzidi wewe mwenyewe sasa unataka simu ya 125,000 kamununulie TECNO
Kama unampenda kamnunulie Lenovo smartphone
Kamnunulie baba au mama yako upate thawabu kijana, acha kupoteza nguvu zako kwa girlfriend halafu kesho na keshokutwa mnamwagana unaanza kujuta. Kama ni mkeo sawa lkn siyo girlfriend. Au km vp hiyo hela peleka msikitini au kanisani
Kamnunulie baba au mama yako upate thawabu kijana, acha kupoteza nguvu zako kwa girlfriend halafu kesho na keshokutwa mnamwagana unaanza kujuta. Kama ni mkeo sawa lkn siyo girlfriend. Au km vp hiyo hela peleka msikitini au kanisani
Samahani wadau, nataka kumnunulia girlfriend wangu simu, lakin sijui nimnunulie simu gani ya smartphone inayo kaa na chaji angalau siku 2, na yenye gharama isiyozidi Tsh 125,000?
Au simu gani nyingine yenye hadhi kidogo isiyozidi hiyo bei?
Asante!
sijawahi kuona smartphone yenye kukaa na chaji siku mbili, labda kama hautumiki. hiyo 125,000 ni ndogo sana kwa smartphone nzuri, labda ujaribu zile za promo tigo na voda.
Kasemajeee vile?
thimati foni eti...............ngoja nikae mkao wakazi hapa nikumpiga chedema tu hizo hela tukalie kachori na ubuyu au wasemaje wewe Mamaafacebook
Samahani wadau, nataka kumnunulia girlfriend wangu simu, lakin sijui nimnunulie simu gani ya smartphone inayo kaa na chaji angalau siku 2, na yenye gharama isiyozidi Tsh 125,000?
Au simu gani nyingine yenye hadhi kidogo isiyozidi hiyo bei?
Asante!
Kasemajeee vile?
thimati foni eti...............ngoja nikae mkao wakazi hapa nikumpiga chedema tu hizo hela tukalie kachori na ubuyu au wasemaje wewe Mamaafacebook
Haaaaaaaaaaaa waniangusha sasa, mie mwenyewe mafia risiti tu wala usihofu, sema tukazilie ubuyu na kachori au niaje,hofu ondoa maana kwa michambo mie mwenye PhD imelela ya michambo tu teh teh!