Maserati
JF-Expert Member
- Jun 15, 2014
- 11,602
- 20,098
Geni geni geni.Muandika notice nipo nae pm ananipa habar ujue
Geni geni geni.Muandika notice nipo nae pm ananipa habar ujue
Mambo ni motoooo umepitwa sanaNiambiee
Sinaaa
Kumbe shoga Na wewe mmbea mwenzangu.mmh sidhani hawajaachana, wapo pamoja bado



jf rahaaaKaka naomba mtu akinichokoza niwe nakutagg unanisaida huwa wananionea sana humuNaona unataka ligi
mwambie Saint Ivuga akakubembeleza wewe maana nilikuwa Smart911 na mahondaw nakushangaa sijui umentokea wapi. Kwani umesikia mimi nakutaka, nyani wewe mxiuuuu zake
eti matusi mapya nenda kwenye ultra-sound wakaangalie kizazi kipo maana unaweza ulienda kukojoa ukakikojoa kikatoka. Acha ligi na mimi sikuhitaji, huo uzuri wako peleka wanaume wengine mimi uniache tafadhali.
eti matusi mapya heeee kayaangalie yanakaa kwenye nguo ndogo kuliko zote mwilini
naomba uniache unikome kama yule aliyekubikiri uniogope na uniheshimu
Hoi code nimeielewa...Aisee na huyu Ilishakuwa Chali tena JF Customs and Taboos
Kumbe ya abroad ndio ileGeni geni geni.
Ahhaha toka lini gea umeonewa jamanKaka naomba mtu akinichokoza niwe nakutagg unanisaida huwa wananionea sana humu
Hii thread mpaka mwisho wake nathani itatengeneza maadui wengi sana![]()
WarereeeeeSinaaa
EeehKumbe ya abroad ndio ile
hakuna mwanamke asie mmbeaKumne shoga Na wewe mmbea mwenzangu.jf rahaaa
Aaaghaa. We mbea fullllllllWarereeeee
Hii nguvu ya umbea na unafiki ikihamishiwa kule KIBITI nina uhakika ndani ya muda mfupi wale magaidi watakuwa wameshateketezwa.
Humu wakiona michambano wanafurahia halaf wanachochea sasa ndio furaha yaohahahah, ushabiki maandazi utawashinda kuchochea mnachochea, muhusika anaombwa aachwe, ooh anachamba alichochamba kipya nini
mwanao wa kiume utamsifia kuchamba asalale....
PoleeeSinaaa
hakuna mwanamke asie mmbea
kinachofurahisha, wanaoshadadia pia wana mafile yao yanaweza kuchimbuliwa ila ndio wanasitiriwa, hakuna tabia mbaya kama kuchochea mamboHumu wakiona michambano wanafurahia halaf wanachochea sasa ndio furaha yao