usiwe mgeni na jf, wakizidiwa wanatunga story ili wampunguze makali mpinzaniAisee Hawa Wakuu wanajuana Kumbe tena Wanajuana sanaa .. Waombane Msamaha walipo teleza Make huku wanakoelekea kuna Mmoja atadharirika Muda si Mrefu hili Jambo siyo la Kuliacha...
we si bingwa wa matusi, leo nipo live kujifunza matusi mapya from your dictionary, ban unaiogopa shujaa wa matusi ban kitu gani bana
I see that madam... Just be carefulas u can see,drama has begun..
Post sent using JamiiForums mobile app
Hii ni season 3.Hahaha
Niko makini... Natoa macho nisijekukosea
Sterling akifa movie imeisha. Halafu sisi tuwatch nini mkuu?Aisee Hawa Wakuu wanajuana Kumbe tena Wanajuana sanaa .. Waombane Msamaha walipo teleza Make huku wanakoelekea kuna Mmoja atadharirika Muda si Mrefu hili Jambo siyo la Kuliacha...
usiwe mgeni na jf, wakizidiwa wanatunga story ili wampunguze makali mpinzani
walete ushahidi kama wanao
nipo jf more than 5 yrs hiki kimbinu nakijua vizuriiiii
Tukanana na Mimi usipokimbia id yako.Mm ndio sipatag dem wa kutukanana nae, naona atahama jf
hahaha [HASHTAG]#Geniveros[/HASHTAG] ngoja tukuitie JJhahahaaaaahaaaa....!!!long live jf
Hivi JF kuna Member wazuri Kumbe ? Sikujua Ila Leo nitakuja na Thread ya Kuelezea jinsi Mahusiano ya Humu yalivyowaongezea msongo wa Mawazo kuliko ambavyo wamewahi kutendwa huko Nje. Wengi wao ni wanawake wenye pesa zao , wenye kazi zao, wenye biashara zao, wameacha mahusiano yao ya Kweli na wengine hata Ndoa zao kwa kukimbilia Mahusiano wa Humu kwa kuangalia kupitia comment zao Mwisho wa siku wengi wao Wanaugulia na Magonjwa yasiyokuja Kupona, Sitawataja ila nitaelezea in General.
My Take. Enyi Wadada wanaume wa Humu ni Sawa na Huyo Mwanaume wako unayemuacha hapo Nyumbani na kuja kujifariji huku. Take Care your Man humu hutapata relief unayoiona kwenye art za Miandiko ya wanaume humu ndani, They are different.
Nitarudi na Thread special ya Kuwambaia Ukweli juu ya Hill , Stay Tune.
Akili Unazo aka Msema Ukweli aka Prophetic wa JF
Mjini raahaaa...Hii ni season 3.
Ya kwanza ilikuwa kasinde na smart.
Ya pili ilikuwa wana jf wakitoa ushauri.
Ya tatuu sasa .weweeeeeeeee.
Siendi kijijini mimi
Mkuu fursa hiyo,Tunakopesha limitedAiseee mm kuchamba nimefunzwa na wapemba bwana..
Maana ukiwalegezea ni shidaaa
nawaona kabisa haya mambo mimi nilishapitia hapa wanafanya marudio ya zamani sana,Mpaka nimemkumbuka marehemu ibra ndio mabest zake hao
Hahahahahah sawa wamewaelewaWasitupigie makelele sasa hata nyuzi za misiba wao ai lavu yu kibao
Mkuu fursa hiyo,Tunakopesha limited
Hahahahahah sawa wamewaelewa
tutabanana hapahapaMjini raahaaa...
Hebu tulia kwanza
Umeonaee...tutabanana hapahapa