Smart TV ALTOP

Smart TV ALTOP

Kinyarugina

Member
Joined
May 12, 2022
Posts
46
Reaction score
68
Nampango wa kununua Smart TV kampuni ya ALTOP Saize 32 huku inauzwa 270,000/= kwa aliye wahi itumia...vipi unashauri ni inunue?
 
Chinese brand, value for money nunua itafaa kwa matumizi ya nyumbani na kama bajeti ni hiyo ila kama unafikisha 300k unaweza pata lg, samsung, skyworth, tcl, evvol, 32' na hiyo altop hata 250k wanakuuzia
 
Back
Top Bottom