Smart phone nyingine inauzwa

Smart phone nyingine inauzwa

Traviana Tray

JF-Expert Member
Joined
Jul 8, 2017
Posts
546
Reaction score
457
Mpooooo?smart phone nyingine tena inauzwa, ipo vizuri sana wale mlio kosa ile iliopita mka nilaumu kila MTU mi nataka mi nataka,hii APA nyingine kama upo tayari kama kawaida mfumo ni uleule ni pm tuwasiliane na utajaribu hapo hapo kabla ya kununua na utapewa na vifaa vyake.BEI NI TSH 65,000.
 
Picha izoo
 

Attachments

  • _20180304_113739.JPG
    _20180304_113739.JPG
    15.9 KB · Views: 55
Hii ya sahivi chenga, subiria wa Kyela wanakuja!
 
Achana na picha za mtandaoni.

Lete picha ya simu unayouza.

Itaje ni itel model gani.

Weka specifications.

Halafu anza kurefresh pm kusubiri wateja.
Jamani kwani ygomvi???? Mbona unapanick mapema iviii!!! Anyway ni model1408
 
Mpooooo?smart phone nyingine tena inauzwa, ipo vizuri sana wale mlio kosa ile iliopita mka nilaumu kila MTU mi nataka mi nataka,hii APA nyingine kama upo tayari kama kawaida mfumo ni uleule ni pm tuwasiliane na utajaribu hapo hapo kabla ya kununua na utapewa na vifaa vyake.BEI NI TSH 65,000.
Mie sitaki simu nakutaka wewe kwa bei yeyote
 
Back
Top Bottom