Slogan za Lowassa zinavyoitesa CCM

Slogan za Lowassa zinavyoitesa CCM

OgwaluMapesa

JF-Expert Member
Joined
May 24, 2008
Posts
10,942
Reaction score
437
Baadhi ya slogan ambazo mara nyingi mh. Lowassa amekuwa akizitumia nibpamoja na,

1. Safari ya matumaini
2. Simama na uhesabiwe
3. Tutalivuka daraja

Ni wazi mtakumbuka tokea Lowassa ameanzisha slogan hizo amekuwa akiandamwa na wapinzani wake ndani ya chama mpaka kupelekea kusimamisha asishiriki kazi zozote za jamii wakiamini kuwa Lowassa anajijenga kisiasa.

Mtakumbuka hakuna mahali yeyote Lowassa alipowahi kutamka kwamba atagombea urais wa nchi lakini amekuwa akifuatiliwa kwa kasi ajabu kwani ameonekana nyota yake inawaka mpaka inamulika nchi za jirani,wako wengi wameshatangaza kuwa watagombea urais ndani ya CCM lakin hasakamwi kama Lowassa ambavyo anasakamwa,mwaka mpya Lowassa aliwaumiza zaidi wapinzani wake pale Monduli alipo asisi slogan yake simama na uhesabiwe,safari ya matumaini,hizi zillipelekea mpaka kuitishwa kwa dharura kamati ya maadili kwaajili ya kumjadili Lowassa na wengine ambao kimsingi mlengwa alikuwa ni Edward Lowassa.

Cha ajabu na cha kushangaza Lowassa alifungiwa na akaheshimu adhabu aliyopewa na chama lakini cha kushangaza ukimya wake umekuwa unakitesa chama wakijaribu kufikiria ni njia gani watatumia kumdhibiti.

Niwashauri tu CCM mpaka sasa hivi Lowassa hamtamuweza kaeni naye chini mfanye naye mazungunzo kwani mnaendelea kujidhalilisha kila panapo kucha,ni hivi majuzi tu Lowassa ameonekana viunga vya mji wa Dodoma akifanya mazoezi lakini naamini sasa hivi katibu mwenezi wa CCM Nape ni anajiandaa kutoa kauli juu ya mazoezi anayofanya Lowassa Dodoma.
 
ImageUploadedByJamiiForums1411400123.158977.jpg
WATAWANGA SANA MCHANA NA USIKU ILA TUNASUBIRI TULIFIKIE DARAJA. Ukianza kuruka mto kabla haujalifikia daraja utatua mtoni. Mwamba wa kaskazini ndio tegemeo la watanzania. Ndie mwanaume pekee anayethubutu.
 
Sisiemu kwa jinsi lowassa alivyowazibia pumzi Muombeni sasa Mungu amchukue Lowassa hakuna ujanja tena wa kumzuia.ila naamini kabla hamjamaliza kusali atawachukuwa kabla hajamchukuwa lowassa.kwani anatambuwa Lowassa ndio tegemeo lililo bakia
 
Jina lako linaonesha wazi kwamba unamtaka Lowasa kwa kuwa ni mmasai mwenzio! Upuuzi mtupu!
 
Jina lako linaonesha wazi kwamba unamtaka Lowasa kwa kuwa ni mmasai mwenzio! Upuuzi mtupu!

Mkuu id yangu sidhani ndicho kigezo chako cha kusema masai,wako wengi wanatumia id za makabila mbali mbali humu ndani lakini siyo makabila hayo.labda unataka niamini nawewe umetumika kama wale vijana wa Wama
 
Ila kwa huyu Mzee ifikie kipindi CCM ikubali tu kwamba hawana candidate mwingine anayeuzika na kukubalika kama Lowassa. Hili walifikirie kwa umakini wa pekee la sivyo chadema tunaenda kuichukua nchi
 
Baadhi ya slogan ambazo mara nyingi mh. Lowassa amekuwa akizitumia nibpamoja na,

1. Safari ya matumaini
2. Simama na uhesabiwe
3. Tutalivuka daraja

Ni wazi mtakumbuka tokea Lowassa ameanzisha slogan hizo amekuwa akiandamwa na wapinzani wake ndani ya chama mpaka kupelekea kusimamisha asishiriki kazi zozote za jamii wakiamini kuwa Lowassa anajijenga kisiasa.

Mtakumbuka hakuna mahali yeyote Lowassa alipowahi kutamka kwamba atagombea urais wa nchi lakini amekuwa akifuatiliwa kwa kasi ajabu kwani ameonekana nyota yake inawaka mpaka inamulika nchi za jirani,wako wengi wameshatangaza kuwa watagombea urais ndani ya CCM lakin hasakamwi kama Lowassa ambavyo anasakamwa,mwaka mpya Lowassa aliwaumiza zaidi wapinzani wake pale Monduli alipo asisi slogan yake simama na uhesabiwe,safari ya matumaini,hizi zillipelekea mpaka kuitishwa kwa dharura kamati ya maadili kwaajili ya kumjadili Lowassa na wengine ambao kimsingi mlengwa alikuwa ni Edward Lowassa.

Cha ajabu na cha kushangaza Lowassa alifungiwa na akaheshimu adhabu aliyopewa na chama lakini cha kushangaza ukimya wake umekuwa unakitesa chama wakijaribu kufikiria ni njia gani watatumia kumdhibiti.

Niwashauri tu CCM mpaka sasa hivi Lowassa hamtamuweza kaeni naye chini mfanye naye mazungunzo kwani mnaendelea kujidhalilisha kila panapo kucha,ni hivi majuzi tu Lowassa ameonekana viunga vya mji wa Dodoma akifanya mazoezi lakini naamini sasa hivi katibu mwenezi wa CCM Nape ni anajiandaa kutoa kauli juu ya mazoezi anayofanya Lowassa Dodoma.
Hahahahaha.kwamba vitaitishwa vikao kwa nini anatrot.hahahahahaa mbavu zangu
 
Sisiemu kwa jinsi lowassa alivyowazibia pumzi Muombeni sasa Mungu amchukue Lowassa hakuna ujanja tena wa kumzuia.ila naamini kabla hamjamaliza kusali atawachukuwa kabla hajamchukuwa lowassa.kwani anatambuwa Lowassa ndio tegemeo lililo bakia

Pia ameanza mazoezi kuonyesha afya yake safi wale wanaomsingizia kuhusu afya yake walie tuu.ila awe mwangalifu asizidishe
 
Baadhi ya slogan ambazo mara nyingi mh. Lowassa amekuwa akizitumia nibpamoja na,

1. Safari ya matumaini
2. Simama na uhesabiwe
3. Tutalivuka daraja

Ni wazi mtakumbuka tokea Lowassa ameanzisha slogan hizo amekuwa akiandamwa na wapinzani wake ndani ya chama mpaka kupelekea kusimamisha asishiriki kazi zozote za jamii wakiamini kuwa Lowassa anajijenga kisiasa.

Mtakumbuka hakuna mahali yeyote Lowassa alipowahi kutamka kwamba atagombea urais wa nchi lakini amekuwa akifuatiliwa kwa kasi ajabu kwani ameonekana nyota yake inawaka mpaka inamulika nchi za jirani,wako wengi wameshatangaza kuwa watagombea urais ndani ya CCM lakin hasakamwi kama Lowassa ambavyo anasakamwa,mwaka mpya Lowassa aliwaumiza zaidi wapinzani wake pale Monduli alipo asisi slogan yake simama na uhesabiwe,safari ya matumaini,hizi zillipelekea mpaka kuitishwa kwa dharura kamati ya maadili kwaajili ya kumjadili Lowassa na wengine ambao kimsingi mlengwa alikuwa ni Edward Lowassa.

Cha ajabu na cha kushangaza Lowassa alifungiwa na akaheshimu adhabu aliyopewa na chama lakini cha kushangaza ukimya wake umekuwa unakitesa chama wakijaribu kufikiria ni njia gani watatumia kumdhibiti.

Niwashauri tu CCM mpaka sasa hivi Lowassa hamtamuweza kaeni naye chini mfanye naye mazungunzo kwani mnaendelea kujidhalilisha kila panapo kucha,ni hivi majuzi tu Lowassa ameonekana viunga vya mji wa Dodoma akifanya mazoezi lakini naamini sasa hivi katibu mwenezi wa CCM Nape ni anajiandaa kutoa kauli juu ya mazoezi anayofanya Lowassa Dodoma.

go go go! Raisi wangu
 
Jina lako linaonesha wazi kwamba unamtaka Lowasa kwa kuwa ni mmasai mwenzio! Upuuzi mtupu!

Mbona wewe husemi umejiunga chadema sababu ni mchaga? ?? Huu nini unafiki
 
Baadhi ya slogan ambazo mara nyingi mh. Lowassa amekuwa akizitumia nibpamoja na,

1. Safari ya matumaini
2. Simama na uhesabiwe
3. Tutalivuka daraja

Ni wazi mtakumbuka tokea Lowassa ameanzisha slogan hizo amekuwa akiandamwa na wapinzani wake ndani ya chama mpaka kupelekea kusimamisha asishiriki kazi zozote za jamii wakiamini kuwa Lowassa anajijenga kisiasa.

Mtakumbuka hakuna mahali yeyote Lowassa alipowahi kutamka kwamba atagombea urais wa nchi lakini amekuwa akifuatiliwa kwa kasi ajabu kwani ameonekana nyota yake inawaka mpaka inamulika nchi za jirani,wako wengi wameshatangaza kuwa watagombea urais ndani ya CCM lakin hasakamwi kama Lowassa ambavyo anasakamwa,mwaka mpya Lowassa aliwaumiza zaidi wapinzani wake pale Monduli alipo asisi slogan yake simama na uhesabiwe,safari ya matumaini,hizi zillipelekea mpaka kuitishwa kwa dharura kamati ya maadili kwaajili ya kumjadili Lowassa na wengine ambao kimsingi mlengwa alikuwa ni Edward Lowassa.

Cha ajabu na cha kushangaza Lowassa alifungiwa na akaheshimu adhabu aliyopewa na chama lakini cha kushangaza ukimya wake umekuwa unakitesa chama wakijaribu kufikiria ni njia gani watatumia kumdhibiti.

Niwashauri tu CCM mpaka sasa hivi Lowassa hamtamuweza kaeni naye chini mfanye naye mazungunzo kwani mnaendelea kujidhalilisha kila panapo kucha,ni hivi majuzi tu Lowassa ameonekana viunga vya mji wa Dodoma akifanya mazoezi lakini naamini sasa hivi katibu mwenezi wa CCM Nape ni anajiandaa kutoa kauli juu ya mazoezi anayofanya Lowassa Dodoma.

hivi CCM watakuwa wendawazim kumpa (FISADI) Lowasa
 
Naamin humu ndani kuna washauri wa mambo ya kiusalama ya Lowassa niwaombe tu mumwambie hali ilivyo kwa sasa asifanye mazoezi barabarani hawakawii kumgonga na gari wakasema gari lilifeli
 
CCM wanataka mpaka Mwalimu Julius Kambarage Nyerere afufuke kaburini ndiyo waache kumlea Edward Lowassa? Huyu hafai hata kuwa Rais wa TFF. Kaliingiza taifa kwenye hasara kubwa ya Richmond/Dowans. Ni tajiri wa kutupwa kwa kutumia vibaya ofisi za umma (abuse of public office). Hapa TAKUKURU wangekuwa wanathubutu na kusimama na wahesabiwe basi wangemfikisha Lowassa kortini aeleze jinsi alivyojilimbikizia mali. Sheria iko wazi kuhusu viongozi wa umma kuwa na unexplained wealth. Kwanza utajiri wake mkubwa, ikiwemo nyumba za jijini London, Masaki, Arusha, Dubai na Afrika Kusini hajazitaja kwenye fomu za maadili.

Leo hii watu wananunuliwa kazi kumuimba Lowassa tu. Rushwa itaipeleka hii nchi pabaya.
 
Katika hayo mabaya uliyompa , tutajie ambaye hana , au naomba um nominate Mr CLEAN wako!!!.
 
Back
Top Bottom