OgwaluMapesa
JF-Expert Member
- May 24, 2008
- 10,942
- 437
- Thread starter
- #21
CCM wanataka mpaka Mwalimu Julius Kambarage Nyerere afufuke kaburini ndiyo waache kumlea Edward Lowassa? Huyu hafai hata kuwa Rais wa TFF. Kaliingiza taifa kwenye hasara kubwa ya Richmond/Dowans. Ni tajiri wa kutupwa kwa kutumia vibaya ofisi za umma (abuse of public office). Hapa TAKUKURU wangekuwa wanathubutu na kusimama na wahesabiwe basi wangemfikisha Lowassa kortini aeleze jinsi alivyojilimbikizia mali. Sheria iko wazi kuhusu viongozi wa umma kuwa na unexplained wealth. Kwanza utajiri wake mkubwa, ikiwemo nyumba za jijini London, Masaki, Arusha, Dubai na Afrika Kusini hajazitaja kwenye fomu za maadili.
Leo hii watu wananunuliwa kazi kumuimba Lowassa tu. Rushwa itaipeleka hii nchi pabaya.
Tuliza shanga wewe utazikata