GE2025 Slaa: CHADEMA haifanyi uchaguzi sio kwa ajali

GE2025 Slaa: CHADEMA haifanyi uchaguzi sio kwa ajali

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

tonicimmobility

JF-Expert Member
Joined
Jun 17, 2025
Posts
493
Reaction score
1,038
Mwanasiasa mkongwe wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) na Mwanadiplomasia, Dkt. Wilbrod Peter Slaa amesema kuwa chadema haipo kwenye uchaguzi wa mwaka huu siyo kwa ajali kwa sababu haina uchu wa madaraka kama kama vyama vingine.

Akizungumza kwa njia ya mtandao na Baraza la Kidigitali la chama hicho leo Septemba 2, Dkt. Slaa amesema ipo haja ya Chama cha Demokrasia kutekeleza katiba yake ili kuhakikisha kuwa mamlaka yanabaki mikononi mwa wananchi.



“Chama makini hakiendi kwa maslahi yake na wanachadema wamejitoa sadaka. Inabidi tuwabebe Watanzania ili watupe hayo mamlaka”.

Dkt. Slaa amesema kuwa waratibu wote wa chama hicho wana wajibu wa kuushirikisha umma kama mtu mmoja mmoja ama vikundi kama CHADEMA family akisema kuwa kwa sasa chama hicho hakitekelezi matakwa ya katiba yake.

“Nchi hii itabaki mikononi mwa CCM tusipokuwa makini na kutekeleza haya maono ya katiba yetu kwa sababu tunaenda kwa spidi ya konokono. Wakati tunazunguka kwenye no reforms no election nilikuwa naangalia hivi vikundi vipo vichache sana. Lengo letu ni kupeleka mamlaka kwa wananchi tofauti na CCM, mwenyekiti tutamheshimu”.

Ameongeza kuwa msimamo wa no reforms no election ni mtakatifu na unampendeza Mungu akisisitiza kuwa unalenga kuwanufaisha Watanzania “Ajenda ya no reform no election ilianzishwa na CHADEMA ila imekuwa ya watu wote wenye vyama na wasio na vyama pia.”
Screenshot 2025-09-02 043455.png
 
Msimamo wa chadema mpaka ccm wanawaonea wivu jinsi watu walivyoacha maslahi ya matumbo yao na kufikiria zaidi wananchi.

Hii NRNE imewaeka mioyoni ya waTZ sana
 
Furaha ya ccm ilikuwa chadema(mpinzani mkubwa) ishiriki uchaguzi ili kuuhalalisha uonekane ulikuwa huru na wa haki!.
 
Tuko pamoja.atuambie nn matokeo ya kutokushirk uchaguzi?
Obviously chama kitakosa ruzuku na uwakilishi bungeni na wananchi wengi watakosa uwakilishi wa chama chao pendwa. Uendeshaji wa chama utakuwa mgumu sana kiasi kwamba baadi ya wafanyakazi itabidi wapumzishwe.
Yatakuwa ni mapito magumu sana lkn lazima gharama ilipwe.
Wanaotarajia kuwa chama kitakufa kama matokeo, watangoja sana.
 
Demokrasia ya Slaa ndo kumwingiza mchepuko wake Cecilia bungeni kupitia viti maalum CHADEMA?
 
Mwanasiasa mkongwe wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) na Mwanadiplomasia, Dkt. Wilbrod Peter Slaa amesema kuwa chadema haipo kwenye uchaguzi wa mwaka huu siyo kwa ajali kwa sababu haina uchu wa madaraka kama kama vyama vingine.

Akizungumza kwa njia ya mtandao na Baraza la Kidigitali la chama hicho leo Septemba 2, Dkt. Slaa amesema ipo haja ya Chama cha Demokrasia kutekeleza katiba yake ili kuhakikisha kuwa mamlaka yanabaki mikononi mwa wananchi.



“Chama makini hakiendi kwa maslahi yake na wanachadema wamejitoa sadaka. Inabidi tuwabebe Watanzania ili watupe hayo mamlaka”.

Dkt. Slaa amesema kuwa waratibu wote wa chama hicho wana wajibu wa kuushirikisha umma kama mtu mmoja mmoja ama vikundi kama CHADEMA family akisema kuwa kwa sasa chama hicho hakitekelezi matakwa ya katiba yake.

“Nchi hii itabaki mikononi mwa CCM tusipokuwa makini na kutekeleza haya maono ya katiba yetu kwa sababu tunaenda kwa spidi ya konokono. Wakati tunazunguka kwenye no reforms no election nilikuwa naangalia hivi vikundi vipo vichache sana. Lengo letu ni kupeleka mamlaka kwa wananchi tofauti na CCM, mwenyekiti tutamheshimu”.

Ameongeza kuwa msimamo wa no reforms no election ni mtakatifu na unampendeza Mungu akisisitiza kuwa unalenga kuwanufaisha Watanzania “Ajenda ya no reform no election ilianzishwa na CHADEMA ila imekuwa ya watu wote wenye vyama na wasio na vyama pia.”

NRNE na mazagazaga yake ni mpango wa Mungu. Nani ajuaye kuwa Polepole leo, hatutajua walipo wenzetu waliopotea na yote ya uvunguni?
 
Mwanasiasa mkongwe wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) na Mwanadiplomasia, Dkt. Wilbrod Peter Slaa amesema kuwa chadema haipo kwenye uchaguzi wa mwaka huu siyo kwa ajali kwa sababu haina uchu wa madaraka kama kama vyama vingine.

Akizungumza kwa njia ya mtandao na Baraza la Kidigitali la chama hicho leo Septemba 2, Dkt. Slaa amesema ipo haja ya Chama cha Demokrasia kutekeleza katiba yake ili kuhakikisha kuwa mamlaka yanabaki mikononi mwa wananchi.



“Chama makini hakiendi kwa maslahi yake na wanachadema wamejitoa sadaka. Inabidi tuwabebe Watanzania ili watupe hayo mamlaka”.

Dkt. Slaa amesema kuwa waratibu wote wa chama hicho wana wajibu wa kuushirikisha umma kama mtu mmoja mmoja ama vikundi kama CHADEMA family akisema kuwa kwa sasa chama hicho hakitekelezi matakwa ya katiba yake.

“Nchi hii itabaki mikononi mwa CCM tusipokuwa makini na kutekeleza haya maono ya katiba yetu kwa sababu tunaenda kwa spidi ya konokono. Wakati tunazunguka kwenye no reforms no election nilikuwa naangalia hivi vikundi vipo vichache sana. Lengo letu ni kupeleka mamlaka kwa wananchi tofauti na CCM, mwenyekiti tutamheshimu”.

Ameongeza kuwa msimamo wa no reforms no election ni mtakatifu na unampendeza Mungu akisisitiza kuwa unalenga kuwanufaisha Watanzania “Ajenda ya no reform no election ilianzishwa na CHADEMA ila imekuwa ya watu wote wenye vyama na wasio na vyama pia.”
Uyu mzee baada ya tukio la 2015 na Mzee mbowe kumuona hataki kabisa unategemea kwasasa atasemaje!!!
hapo alipo yupo mguu ndani mguu nje 😀
kiongoz pekee mwenye kum'beba chamani japo kishingo upande ni Lisu uyo Lisu mwenyewe pia kaombwa na kiongoz wa Dini mwenye kabila sawa na Lisu..
Sasa akajitumbukize Chaumma kwani mzee karogwa 🤣🤣 kachokwa kutukanwa na wajukuu zake na kusamehe kwenu mwiko mmemkutana babu yenu kwa miaka 4 🤣🤣 bado unachezea CCM 🤣🤣
 
Back
Top Bottom