Ritz
JF-Expert Member
- Jan 1, 2011
- 54,081
- 43,176
Dr.slaa wewe ni mkweli siku zote hilo halina ubishi na mungu akulinde na akupe maisha marefu uendelee kuwakosoa hawa chekechea wa ccm.
Dr. Ninaombi moja kwako,
Nina wasiwasi kuna mchezo chafu utachezwa kwenye chaguzi za kata na wapinzani wako ccm ili wapate pa kutokea baada ya lwakataregate kufail.Na huenda kweli msishinde hata kata moja kama hamtakaa na kubaini ni mpango gani ccm wamepanga.Kwa kuwasaidia nendeni ktk vitongoji vya singida mlikoshindwa mkajifunze kwani mbinu iliyotumika ndiyo hiyohiyo itatumika kwa uchaguzi wa madiwani 25.CCM wamejipanga kuwaduwaza ndiyo maana hawahangaiki na majukwaa wana lao la kuwatoa .chunguza mjomba utabaini
Mtu mkweli siku zote anapimwa kwa matendo yake.