Kishongo
JF-Expert Member
- May 4, 2010
- 932
- 64
Tutamkosa bungeni manake amegombea urais na kufanikiwa kuongeza idadi ya wabunge wa chama.
Swali ni je,atakuwa buisy akifanya nini?
1. Kutafuta mabomu na kuwapatia Lissu na Mnyika wayalipue bungeni?
2. Atamsaidia aliyetarjaiwa kuwa first lady kuendeleza NGO yake?
3. Atarudi church?
4. Atasubiri mbunge aenguliwe na mahakama au afariki (Mungu aepushie mbali) ili agombee?
5. Atarudi kulima vitunguu Karatu?
Tafadhali tujadili ,,, bila matusi.
Swali ni je,atakuwa buisy akifanya nini?
1. Kutafuta mabomu na kuwapatia Lissu na Mnyika wayalipue bungeni?
2. Atamsaidia aliyetarjaiwa kuwa first lady kuendeleza NGO yake?
3. Atarudi church?
4. Atasubiri mbunge aenguliwe na mahakama au afariki (Mungu aepushie mbali) ili agombee?
5. Atarudi kulima vitunguu Karatu?
Tafadhali tujadili ,,, bila matusi.